Yeah, kwa Sham wangemfikiria, yule ni mama na ana watoto wadogo...Inahuzunisha vijana wadogo kupata kifungo cha maisha huku wakiacha watoto wadogo bila wazazi,pia madawa ya kulevya yana madhara makubwa sana kwa nguvu kazi ya taifa.
Ingependeza mahakama ya mafisadi ipitie upya uhusika wa shamim kwenye huo uuzaji wa madawa naona kama ameingia mkenge kwa mgongo wa mumewe,aachiwe huru akalee watoto.
Haaahaaa duh! Kwel papuchi ina nguvuKuna uwezekano wa mie nifungwe badala ya shamimu ?
Naomba picha plse.Yaani amekonda kawa Kama mzee! Jela sio pazuri
Ungependa nifunguke wapi zaidi.. Artificial Intelligence and stuffs au AngelsFunguka kiupana zaidi hapa mkuu
Acha mkuu
Mambo ya mjini huko Nameromango huwezi kuyajuaMimi siwafahamu
Basi na Abdul alimla kimasihara.Huyu aliliwaga kimasihara na etoo nakumbukaga zile picha za kwenye swimming pool[emoji1][emoji1][emoji1]
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
Naogopa hata kukubalina na jibu[emoji20]Ni Mwanadamu pekee ameumbwa na free will. Malaika ni kama weak Artificial Intelligence ambayo inakua assigned kwa task fulani. Lakini Mwanadamu ni kama strong artificial intelligence ambayo hua much bigger kwenye task zake haipo custom assigned to do something.
Nikekujibu??
Vick we hukupagawa na vibubu vyake?[emoji1787]Ila aliwaokota kweli,mnajisikiaje kuona role modal wenu kumbe ni muuza sembe. Nyie ni wa thamani sana kuliko huyo Shamimu. Basi tu binadamu tunaangalia utu wa nje.
Mwandamu ndio kiumbe first class na compex creature ever made.Forever and for always;
Human Being = Complex Creature.
Mafungamano yako na positive & negative influences zake!
Ndio DUNIA na Maajabu yake!!!
Haya enjoy ur lifeTulia utaona moto wake usiku huu. Kiza kinene lazima nifanyw uchawi wangu.. povu litoke wapi mkuu.. nakula maisha yangu hapa
HaahaaaahaaaWatanzania wanafiki Sana ndugu .
We angalia. Jinsi mwendazake alivyokuwa anakandamiza watu nankapoteza Sana watu kwenye msiba vimejiliza na kuzimia kabisa [emoji1]
Watz wanafiki kweli kweli
Sent from my TECNO P703 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kichwa chako kimeshakunywa gongo relaxMshamba unamjua wewe.. au unasikia sikia tu .. tulia utaona mziki ndio utakoma kutukana watu ovyo ovyo wachawai.. lazima ni prove uchawi wangu kwako, ndio ushike adabu [emoji874]
The best you ca do is asking..Just ask
VyoteeUngependa nifunguke wapi zaidi.. Artificial Intelligence and stuffs au Angels
Kuwa na Watoto wadogo sio sababu ya kutenda kosa. Hawezi kuonewa huruma sababu ya kuwa na Watoto wadogoYeah, kwa Sham wangemfikiria, yule ni mama na ana watoto wadogo...
I hope appeal yao italeta nafuu
That's damn life [emoji1]Kipindi kinaitwa narco wars kinapatikana national geographic channel kwa dstv.
Wee achana nao hao jamaa party zao ni balaa...sasa wee kilo $50000 umeshauza mzigo wa kilo 300....unashusha warembo wakali tupu yani ratio ya man to woman hapo ni 1:3. Mwaga cocaine, booz, chakula alafu muanze kusasambua mbususu. Acha kabisa mwana.
Wote hukosea ila ku judge wengine as ni wadhambi sana na kufurahia maana kwa hii dunia lolote laweza tokea kwa yoyote hata kufungwa kwa watu kukosea identity tuKufurahia?!? = Relevant + Irrelevant!
Mistakes in Life have never been a Justification of anything! Unless proven beyond reasonable doubts !
That’s Real Life!