Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Tatizo hapa yeye alikiri makosa. Sawa wether it was coerced or otherwise but naamini mtu ambaye kweli ni msafi hawezi kukubali atawaambieni bora mniue lakini sio kukiri jambo ambalo hakufanya.
Unajuaje walimminya poumbou akiri
 
Yaani aliacha msomi. Jamaa kasoma na sister zangu pale Shycom then akasoma pale UDSM Bcom .Yule kaka alishaoa. Shamimu akaenda kwa wa la saba mtaka shortcut huyu mtu wa magomeni muuza unga. Tena Shamimu atakuwa anajutia sana.
Njoo nikuoe na wewe mimi mwanaume mshua sana dada!!
 
Yes ni kweli ,hata Elchapo na Escobar ni waislamu
 
Hawa wakipaki magari kuingia misikitini wanaheshimika mpaka Sheikh anawatetemekea kwakuwa wanaingiza Swadaka na Zakat wanatoa

Wanajifanya kuona kitimoto na pombe ndio haramu ila heroine na Cocaine sio

Mijusi hii.
Mbona wale wachungaji wa kinigeria waliokamatwa haujawataja ? VP kuhusu Yule mtoto wa lecturer na mjomba wake ?
 
 
Well narrated
 
Wewe hebu tulia. Ikute mimi ni dada yako. Heshima mbele ujue.
Kwani kukuoa kuna shida gani? Sijasema nataka kukufanya vibaya halafu nikuache bali nataka kukuoa kabisa dada yangu. Changamkia tenda hiyo dada!
 
Yaani aliacha msomi. Jamaa kasoma na sister zangu pale Shycom then akasoma pale UDSM Bcom .Yule kaka alishaoa. Shamimu akaenda kwa wa la saba mtaka shortcut huyu mtu wa magomeni muuza unga. Tena Shamimu atakuwa anajutia sana.
Shamimu simshangai kumuacha huyu baba maana hatujui yaliyokuwemo na huwa sishauri kukaa kwenye vitu visivyoekeweka,ila mwanaume darasa la saba hata awe na pesa bado havutiii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…