Shamimu Mwasha na Abdul Nsembo wahukumiwa kwenda jela maisha baada ya kukutwa na hatia ya kusafirisha Dawa za Kulevya

Hukumu iliyotolewa ni kali kupita kiasi. Wangepunguziwa kidogo hata kifungo cha miaka 7 na faini. Mawakili wao wasaidie kwa kweli.
Ili warudi wakaendelee kuwauzia unga vijana mateja wawe wengi watu tukabwe daily na vijana waendelee kufa ie Ngwair na Langa.
Tumia common sense basi.
 
Acha kuleta story za kwenye vijiwe vya kahawa.
 
Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake
Sasa mtu anajua mumewe muuza ngada kwanini hakureport

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Atakuwa mali ya bwana jela

Sent from my JSN-L21 using JamiiForums mobile app
 
Makonda na team yake waliwaekea Madawa ya kulevya kweli nsembo alikuwa anauza Unga na sio shamimu Sema nsembo hakuwa na Unga ndani kawekewa na kina makonda na team yake inauma sana na Mungu atamlipa makonda na uzao wake
We ulikuepo wakati anawekewa madawa?
 
Aseee
 
Siku hizi DCEA wanajaribu ondoa loopholes za wao kushindwa kesi
 
Wale wa Kimara nao wasubirie Maisha.
Pamoja na yote hayo bado watu wanaendelea na hiyo biashara
 
kunawatu wanawadharau dcea niwaàmbie tuu huko hakuna kilaza na hawabaatishi kazi

fact:ukitaka kujua hawajamaa ni noma angalia idadi ya kesi walizopeleka mahakamani na kushinda
Hawawezi shindwa sababu kwa sasa wamepewa mbinu na vitendea kazi, ulinzi wa kutosha na mengine mengi.

Wakikudaka huchomoki kamwe
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…