78Kuku
JF-Expert Member
- Mar 31, 2021
- 562
- 756
Ili warudi wakaendelee kuwauzia unga vijana mateja wawe wengi watu tukabwe daily na vijana waendelee kufa ie Ngwair na Langa.Hukumu iliyotolewa ni kali kupita kiasi. Wangepunguziwa kidogo hata kifungo cha miaka 7 na faini. Mawakili wao wasaidie kwa kweli.
Tumia common sense basi.