Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Umaskini upo kagera maana Ni mkoa wa 11 kwa umaskini, kilimanjaro Ni ya 2 kwa wananchi wake kuwa na maisha Bora
Picha za mtandaoni mbona nyie mnaweka za BUKOBA WADAU ? Kwan unaangalia picha imetoka wapi au unaangalia uhalisia? Umechemka

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hamuwez kuiga kilimanjaro kbs
Nyie wahaya hampendi kwenu mnaiga kick ya kurudi huhuhuhu hii kitu master Ni wachaga tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
December wanaoenda kwao Ni wachaga,wengine mnaenda watu watano mnasema mmenda?
Hahaha December nchi nzima inakuwa attention na uchagani pole
Alafu BK Safar za ndege Ni 3 kilimanjaro Ni 5 yaan nyie kwa usafr wa ndege level yenu ni mpanda airport

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wangekuwa wao hiyo ya kuongeza ndege kwa route ya Buloba wangekuwa wameshaianzishia uzi. Wanapenda sifa za kukopi[emoji3][emoji3][emoji3]

Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona kilimanjaro tuna route 5 kwa siku ? Hahaha watu wa bukoba kwa ushamba hamjambo ,Sisi hadi ndege tunamiliki (précision air) nyie mnao huo uwezo?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sijambo mimi jamani dear!
Nashukuru mnooo kwa kweli, nakutakia kheri pia katika kipindi hiki cha kuelekea siku kuu za Christmas na mwaka mpya!

You're missed dear
 
Hiyo uliyopost siyo ya muleba-rubya
Barabara ya muleba-rubya naifahamu pia haina lami Ila ipo kwenye mpango
Hebu Soma maekezo yaliyo kwenye hiyo picha ulio post imeandwa muleba-rubya?

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamba hiyo lami imeanzia vijijin sio barabara kuu ama?


Kwamba barabara ya lami inajengwa vijijin baada ya hapo vumbi mpaka barabara kuu???


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mnachekesha,Kwan mji kuwa na bajaji Ni kosa? Mbeya zipo,mwanza zipo,dar zipo
Bukoba Ni washamba Sana Ni mji pekee Tanzania usio na daladala za mji

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwan ni lazima kuwa na daladala za mji.

Daladala za nini zinazokaa kwenye vituo saa mbili kama huko moshi!!

Kwanza daladala zilikuwepo na zitarudishwa mwakan meli ikianza kufanya KAZI tena kwenye route zenye uhitaji

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inakuwa na attention kwenu Kwa sababu mnashindwa kujipanga mpaka mnapanda midaladala ya buza

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Waambie wachaga wenzangu. Mimi ninakuja na boksi lililojaa kadi za CCM wote mliotangulia jiandae kupewa kadi za chama tawala.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…