Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 703
- 514
Mnachekesha,Kwan mji kuwa na bajaji Ni kosa? Mbeya zipo,mwanza zipo,dar zipoSiku hiz wamekuwa wapenda sifa.
Hukisikia watu wa moshi na Arusha wanavyopasifia kwao !! Unaweza jion we si kitu kwao.
Fika sasa uone maajabu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Bukoba Ni washamba Sana Ni mji pekee Tanzania usio na daladala za mji
Sent using Jamii Forums mobile app