Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Mambo halisi ya bukoba vijijin
tapatalk_1577073477919.jpeg
tapatalk_1577073480977.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 

Attachments

  • tapatalk_1577073501205.jpeg
    tapatalk_1577073501205.jpeg
    69.1 KB · Views: 3
Magufuli mwenyewe anajua mna uwezo nyie nshomile ndo maana mlipopata maafa aliipeleka serikalin pesa mliochangiwa.


Akipaangalia bukoba akalinganisha na chato aliona huo usenge kuwajengea nyumba watu
tapatalk_1577073185688.jpeg
tapatalk_1577073183649.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakuu poleni na majukumu, dhumuni la Uzi huu ni kutoa updates mbalimbali za sikukuu ya Krismasi kwa watu waliopo Kilimanjaro, hivyo wale wenye picha mbalimbali mnakaribishwa.

NB: Mimi bado sijafika Kilimanjaro najiandaa na safari ya kutinga Kilimanjaro

Luambo Makiadi
Eindhoven-Netherlands

Sent using Jamii Forums mobile app
Hiv wachagga hu mnarud haswa kufanya nini mwisho wa mwaka na je kuna ulazima kiasi hiko na kama ukikosa nini kitakutokea kama mchagga niko uchaggan mwaka wa 5 sasa hili swali linanitatiza sana?
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. instanbul

Picha zote ulizoleta ni marudio ya post za nyuma.

Afu kama mmegundua Bukoba kunatisha, Hapavutiii ndio maana wazungu wanaogopa kuja tofauti na Ulaya ya moshi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu INRI upo hapo

Uwe unatulia Kwanza .

Wahaya sio watu wazuriView attachment 1300828

Sent using Jamii Forums mobile app
Sitaki kupost nyumba moja na kuirudia kila upande[emoji16][emoji16]View attachment 1300831View attachment 1300832

Sent using Jamii Forums mobile app
Uhalisia wa bukoba sio kutupistia vivilla vya watu wachacheView attachment 1300833

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mtu anabisha?


Maghorofa ni kawaida mno vijijinView attachment 1300840

Sent using Jamii Forums mobile app
Maghorofa bukoba ni kitu cha kawaidaView attachment 1300841

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Tabia ya mageti vijijin sijui ndo usomi?View attachment 1300847

Sent using Jamii Forums mobile app
Sio vzr nshomile kuweka mageti Kali vijijinView attachment 1300848

Sent using Jamii Forums mobile app
Wakati watu wanakimbizana kwenye nyumba za tembe huko Tanzania .watu wanaweka mageti ya umeme vijijin !!!

Nshomile Mungu anawaonaView attachment 1300849

Sent using Jamii Forums mobile app
Magufuli mwenyewe anajua mna uwezo nyie nshomile ndo maana mlipopata maafa aliipeleka serikalin pesa mliochangiwa.


Akipaangalia bukoba akalinganisha na chato aliona huo usenge kuwajengea nyumba watuView attachment 1300850View attachment 1300851

Sent using Jamii Forums mobile app
Marudio, Afu Bukoba kunatisha sijui kwanini? Ndio maana hata Ali mufuruki hakutaka kuzikwa Huko.

Uzuri wa Moshi kila mtu akipita hapa anasifia kweli ni Ulaya.

Bukoba kupo kama Ukiwa, Wazungu wanaogopa kuja kama huku kwetu Marangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Marudio, Afu Bukoba kunatisha sijui kwanini? Ndio maana hata Ali mufuruki hakutaka kuzikwa Huko.

Uzuri wa Moshi kila mtu akipita hapa anasifia kweli ni Ulaya.

Bukoba kupo kama Ukiwa, Wazungu wanaogopa kuja kama huku kwetu Marangu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huku kuna Tabia imezuka kila mtu geti Kali [emoji16][emoji16]

Wahaya wanapenda sifa Sana aisee.

Ila hiz sifa zinasaidia [emoji16][emoji16] ona Vijijin
tapatalk_1577073088509.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom