Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Yaani Bukoba kunatisha sijui kwanini.

Ulisikia Obama aliomba kupata eneo moshi alipokuja kwenye Tour?

Ni kwasababu moshi kuna mandhari ya kuvutia sana, watalii hawakauki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Mmekimbilia kwenye kutisha tena nyumba hazionekani tena

Nan anasema vijijin hakuna lami?
tapatalk_1577073343970.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom