luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,602
- 8,798
- Thread starter
-
- #621
AsanteeeeeeeHii ndio maana ya kuwa msomi.
Tunaelewana? [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1301387
Sent using Jamii Forums mobile app
Hakikaaa Ni muhimuIbada ya Christmas ni muhimu, tusiache kwenda kanisani.View attachment 1301378View attachment 1301379
Sent using Jamii Forums mobile app
Acha wafe maana hivi vijiji ni ulaya, wazungu wanabadilisha uraia kuishi Marangu, Machame, Kibosho, Rombo, Uru na Old moshi.
Arusha wana uwanja waoHiv huwa hujiulizi bukoba kuna nini? Mpaka watu wanapanda ndege hivyo?
Nyie Kilimanjaro hata Arusha hupitia hapo Kilimanjaro pamoja na watalii wa huko lakin bukoba ni familia Tu na mabwenyenye ya kihaya yanayopenda sifa
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].Asanteeeeeee
Nakosa uhondo maana Leo naenda Spain naenda na ndege ya usiku
Nashukuru mnaniwakilisha vyema hapa endelea kumimina mapicha Hadi wale wala senene wapotee
Sent using Jamii Forums mobile app
Wewe kweli haunazoYaan mnashindwa kukodi mabasi mnapanda vidaladala vya buza kwenda kwenu yaani niliwadharau sana
Sent using Jamii Forums mobile app
Barabara inayoanzia pale muleba mjini kwenda rubya haina lami hiyo ndio mantiki ya luambo,mm pia hiyo barabara naijua mno juzi Kati nilikuwa buganguziKwamba hiyo lami imeanzia vijijin sio barabara kuu ama?
Kwamba barabara ya lami inajengwa vijijin baada ya hapo vumbi mpaka barabara kuu???
Sent using Jamii Forums mobile app
Amen Mkuu.Hakikaaa Ni muhimu
Nimesali kanisa Katoliki hapa jijin Amsterdam,jioni ya Leo nitaelekea Spain na Lufthansa air
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama sikosei hii TPC hapa ni barabara ya kelekea kwetu hahaaaUmelewa rubisi wewe njoo uchagani paradiso ya AfricaView attachment 1300485
Sent using Jamii Forums mobile app
Moshi daladala zinapeleka watu shambani,usafiri mkuu mjini Ni Noah DK 5 imeshaamsha ROMBO, machame,sanya nkKwan ni lazima kuwa na daladala za mji.
Daladala za nini zinazokaa kwenye vituo saa mbili kama huko moshi!!
Kwanza daladala zilikuwepo na zitarudishwa mwakan meli ikianza kufanya KAZI tena kwenye route zenye uhitaji
Sent using Jamii Forums mobile app
MwwnI huu ntakuwa hapo Mamba kwa makundiPia, tukasali kanisa letu la hapa Marangu, mboni.View attachment 1301364
Sent using Jamii Forums mobile app
Daladala zinaokoa jahaz maana kwa mahaba ya wachaga kwenda nyumbani,sio ndege,basi,magari binafsi,treni vyote vinakuwa fullInakuwa na attention kwenu Kwa sababu mnashindwa kujipanga mpaka mnapanda midaladala ya buza
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha unachekesha shirima pekee Ana hisa 51% wengine Wana 5,2,3nk kwenye kampuni,mtu mwenye hisa kuliko wote ndiye mmiliki au hata hujui Sheria za biashara?Acha sifa za uongo hapa
.mtu anahisa chache kwenye presicion air ndo mnasema mnamiliki wachaga wote hiyo precision??
Sent using Jamii Forums mobile app
Hoja Ni je ni picha za moshi au sio moshi? Hahaha utanena vyote dadadeqPicha zenyewe ni za Facebook. Na jina kabisa la picha ni FB. Yani wachaga na mitandao bwana.[emoji1787][emoji1787]
Sasa kama hamjaenda Moshi kwa sikukuu mmeanzisha uzi wa nini??
Sent using Jamii Forums mobile app
Moshi Ni Noah ,hiace tunabebea watu wanaoenda shambani,nyie washamba mji umejaa bodaboda ndio daladala washamba wahedi bukobaWenyewe wa Moshi wanagiita vifodi. Wachaga washamba sana[emoji1787][emoji1787][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona unaweweseka? Tulia dawa ipenyeTatizo ni jina la uzi mkuu. Mmeufungua wenyewe msikimbie maana ya uzi. Wekeni pichaaaaaaaaa[emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama ulaya vileKibosho ndio kwetu.
Merry Christmas.
Wahaya nawaona mnavyohaha . [emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1300681
Sent using Jamii Forums mobile app