Newword
JF-Expert Member
- Dec 2, 2019
- 326
- 299
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Lami zao chache wamejengewa juzTakaka hii, Angalia Lami Grade ya Kwanza Kijijini.
Kaka huoni Aibu kabisa unachopost?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]View attachment 1300872
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu mkuu.nimefuatilia kwa umakin huu uzi wote makazi mpo vizur kuliko kokote Tanzania hongeren
mimi kwa hizi picha ningeomba kuish moshi
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanaogea ziwan wanapata fangasi ndio maana dr ndodi hakauki hukoYaani Uchaggani kukuta mtu ana outdoor Swimming pool ni kitu cha Kawaida sana.
Wenzetu wanaoga Katerero.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hawana kitu cha kutisha.Lami zao chache wamejengewa juz
Wakati kule uchagani lami zipo tangu enzi hahaha hawa watu ni wanafunz wetu kila idara
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha bukoba kwakweli hawajengi kwao waje kilimanjaro tuwape seminaTuache utani, Moshi tumebarikiwa mandhari safi, watu wakarimu na wanaojali kwao kuliko kitu chochote.
Hamjajiuliza kwanini wahaya wengi hawajengi kwao? Kunatisha afu hamna vibes kabisa, wazungu wamanati.
Tunashangaa, Ruge hakujenga, Mufuruki kazikwa makaburi ya Kisutu. Kulikoni? View attachment 1300906
Sent using Jamii Forums mobile app
Teknolojia itamuumbuaHii sehemu kama naifahamu kama nilishaipitaga kipindi nasoma old moshi sec
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahaha yaan hadi wakifa wanazikana kisutu kwao hawapapendiDah, ndio maana tunarudi December, makabila Mengine wanaogopa kwao kunatisha.View attachment 1300915
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji3][emoji3] nizakale anadai hili kanisa lipo ulaya eti alipogundua lipo uchagani Tena vijin amezimia kwa presha[emoji3][emoji3]Kanisani, Ni kama tupo Uingereza. Ni moshi ndugu, kijijini samanga, Marangu.View attachment 1300918
Sent using Jamii Forums mobile app
Mzungu hawez kanyaga uhayani funza watammaliza[emoji3][emoji3]Wazungu wanashangaa Uumbaji.
Mesmerizing Nature.
Wahaya mupo humu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1300919
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachaga hii sifa sasaWatu pesa chafu hapa ni mutu mmoja anapamiliki huko kinyange, Marangu.View attachment 1300924
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha nimecheka Hadi nimemwaga bia yangu hahahaWazungu hawajui nini kinaendelea Duniani, wanakula bata kijijini Marangu.
No, sio Bukoba huko kwenye Katerero, Ukimwi nje nje, mabalaa kama yote. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1300925
Sent using Jamii Forums mobile app
HahahagaJamaa akiishiwa picha anaiba za Uchaggani. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
HahagaMkuu mbona hayo Mambo kawaida huku bukoba vijijin.
Mzee mshumbusi huyoView attachment 1300945
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaanza kupanick hakuna hotel hata moja Ni majumba ya watuWe unapost hotel na villogde vya huko marangu ndo unapost hapa.
Nyumba za watu ziko wap
Halafu unapost nyumba moja angle tofauti[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1300948View attachment 1300950
Sent using Jamii Forums mobile app
Hatariiii wachaga hii Ni kufuru jumba Kama ikulu ya trumpWatu wamejenga huko Ashira juu, Dah. Wachagga acha tupigwe vita tukileta majumba tutaanza kuchunguzwa.View attachment 1300954
Sent using Jamii Forums mobile app