Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 703
- 514
Aisée wachaga ni kiboko kumbe ndio maana watu wanawatolea majungu Sana,vitu kama hivi vipo ulaya tu hongeraaaaaaHawa kina Makundi wana estate hatari Marangu mpaka Heliport.View attachment 1300685
Sent using Jamii Forums mobile app
Walienda bukoba wakaliwa funza wakawakimbia sasahv wameapa kutoondoka moshi wanadai moshi ni kama ulayaWazungu ndio maana hawataki vijiji vingine kula bata ila moshi tu.View attachment 1300689
Sent using Jamii Forums mobile app
AsanteeeeeeUkiuliza kabila lenye makazi bora, jibu ni moja WACHAGGA.View attachment 1300690
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Amsterdam vile Mungu endelea kuiinua moshi,Hawa Wala senene wameshakimbia tayarHakika Mungu alitulia kipindi anaumba ardhi ya Moshi.View attachment 1300692
Sent using Jamii Forums mobile app
Wahaya wameshakimbia sáa nyingiLeo nimepita upper residential area, kijijini Marangu. Nikaona nitupie picha.View attachment 1300703
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii Ni marangu tu
[emoji2956][emoji2956]How Marangu village appers at night while waiting for the silent night, Christmas.View attachment 1300702
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahaha umepanic kwamba hapo alipooost Ni nyumba chache?[emoji1787][emoji1787][emoji1787] tena Leo ndo umepost hicho kitu ambacho huwa nakiona uchaggan kisehemu kidogo hapo marangu chenye nyumba zinazofanana cha kina shayo na makundi chenye bustan nzr na kule machame Kwa kina Mengi plus kale Ka mission Ka kibosho ndo uona wameendelea Sana na nyumba Bora kijijin[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nyie watu mna utan Sana .
Mzee Baba nakuja muda si mrefu kaa hapohapo.
Yaan unapost kajumba kamoja???
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba za nyasi n'a udongo zimejaa uhayani hasa mulebaHapa ndo kweli na ndo maisha ya wachaga wengi kuna migomba na nyumba za kawaida Sana mpaka za udongo huko migombani.
Mbona hao mademu nyuma wamepigwa pasi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni heshima kurudi nyumbani,tunakutana na WADAU na kubadilishana mawazo hasa ya kimaendeleoHiv wachagga hu mnarud haswa kufanya nini mwisho wa mwaka na je kuna ulazima kiasi hiko na kama ukikosa nini kitakutokea kama mchagga niko uchaggan mwaka wa 5 sasa hili swali linanitatiza sana?
[emoji7][emoji7]Emu Toa upupu wako hapa.
Unajua wahaya mna ugonjwa kitaalamu tunaita Schizophrenia and Narcissism?
Sasa hilo bonde la maji linavyotisha nani atakuja huko? Utadhani jehanum ya majini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Funga macho uone, Crater lake Chala, Moshi, The garden of Eden.
Jishitukie bhasi, ukiona Obama anaomba Ardhi Moshi, kuna kitu alikiona.View attachment 1300988View attachment 1300989View attachment 1300990View attachment 1300991View attachment 1300992View attachment 1300993View attachment 1300994View attachment 1300995
Sent using Jamii Forums mobile app
Huko udsm na udom wachaga ndio waliowapokea wahaya sitaki povu[emoji3][emoji3][emoji3]Huku ndizi huku Sato na sangara plus dagaa wa bukoba
Ndo maana wahaya wamejazana UDSM na UDOM hukoView attachment 1300855
Sent using Jamii Forums mobile app
Umeona ee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]. instanbul
Picha zote ulizoleta ni marudio ya post za nyuma.
Afu kama mmegundua Bukoba kunatisha, Hapavutiii ndio maana wazungu wanaogopa kuja tofauti na Ulaya ya moshi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Mufuruki waliogopa kumxika bk waliona aibu hahahaMarudio, Afu Bukoba kunatisha sijui kwanini? Ndio maana hata Ali mufuruki hakutaka kuzikwa Huko.
Uzuri wa Moshi kila mtu akipita hapa anasifia kweli ni Ulaya.
Bukoba kupo kama Ukiwa, Wazungu wanaogopa kuja kama huku kwetu Marangu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hivi Muleba to Rubya ni lami nowdays?Una uhakika kwamba hakipo popote tz.
Hata bukoba vijijin barabara za vijijin zina lami
Mfano muleba to rubya.kamachumu to muhutwe ,katoma, katerero to kanazi, maruku nk nk
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mzungu mtu wa uholanzi aligoma kabisa kuondoka Moshi akaoa mmarangu, alisema wakimtoa Moshi atajiua Moshi patamu bhana kwanzia mjini Hadi vijinYaani Bukoba kunatisha sijui kwanini.
Ulisikia Obama aliomba kupata eneo moshi alipokuja kwenye Tour?
Ni kwasababu moshi kuna mandhari ya kuvutia sana, watalii hawakauki.
Sent using Jamii Forums mobile app