Shida hamna hela na wala ubavu wa kutoa hela na Pia ni mabahili mno ndo maana mnakimbilia kupanda daladala za buza [emoji23][emoji23][emoji23]Daladala zinaokoa jahaz maana kwa mahaba ya wachaga kwenda nyumbani,sio ndege,basi,magari binafsi,treni vyote vinakuwa full
Serikali miezi hii karibu nusu ya mapato inayapatia kilimanjaro [emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Utaenda kuishi kwenye hizo gesti? Na lodge wanazopost humu???nimefuatilia kwa umakin huu uzi wote makazi mpo vizur kuliko kokote Tanzania hongeren
mimi kwa hizi picha ningeomba kuish moshi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23] Nani hasiyejua wahaya kwenye elimu ndo vichwa hapa bongo?Huko udsm na udom wachaga ndio waliowapokea wahaya sitaki povu[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Hujui kwamba ni muislam Yule na amezikwa kiislamu sio kitamaduni.
Yap ujenzi unaendelea.sasa lami inaanzia kanyambogo mpaka Rubya.
In college alafu Home Sweet Home alafu barabarani[emoji2296][emoji2296][emoji2296]Ukiwa muongo raha sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Wachaga bwana. Anyways poleni na safari ya chuoni kwenu na kupiga picha za barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app
We picha ziko wap lakinHahaha bukoba kwakweli hawajengi kwao waje kilimanjaro tuwape semina
Sent using Jamii Forums mobile app
In college alafu Home Sweet Home alafu barabarani[emoji2296][emoji2296][emoji2296]Ukiwa muongo raha sana[emoji23][emoji23][emoji23]
Wachaga bwana. Anyways poleni na safari ya chuoni kwenu na kupiga picha za barabarani
Sent using Jamii Forums mobile app
Wako wanatupostia madimbwi hapa[emoji23][emoji23][emoji23] eti sijui Chala[emoji1787][emoji1787]Nyie endeleeni kuokoteza vipicha vyenu vya huko Marangu mitandaoni,
Mimi nipo kwenye beach tuliivu saaana ya kipekee Tanzania Beach ya Bukoba!! Sijaona kama Bk
Wachaga sauti inatosha??View attachment 1301449View attachment 1301450View attachment 1301454
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiz ndo kafala na matambiko mnayofanyaga mkienda moshi??Yaan sisismizi amtoe tembo kwenye reli? Hahaha dunia nzima ipo attention na uchagani wala sio huko porini kwenu mnakologana
Bhojo kaziroView attachment 1301478
Sent using Jamii Forums mobile app
Tuletee nyumba ya Ali mufuruki Bukoba tufanye comparison na Mengi.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hujui kwamba ni muislam Yule na amezikwa kiislamu sio kitamaduni.
Halafu inaonekana mulikuwa mnamuogopa Sana yule
Sent using Jamii Forums mobile app