Huyu mama mbona anaishi banda la ng'ombe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Maji ya bomba mpaka vijijin huko uhayani.
Wachaga mpo??? Na porojo zenu?
Kumbe uko unachungulia kimya kimya[emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa unajua kuwa karagwe ndo inaongoza kulima kahawa na ndizi usingepost vitafiti vyako[emoji1787]View attachment 1301681
Sent using Jamii Forums mobile app
Tulia wew dawa ikuingie.Nyumba zote zilizopo kagera nzima gharama zake Ni sáwa na msingi wa nyumba ya mengi tu
Hahaha mhaya ni mwanafunz wa mchaga kila idara
Sent using Jamii Forums mobile app
Wivu Tu.Huyu mama mbona anaishi banda la ng'ombe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Amemaliza ujenzi.Padre anabariki nyumba yake.Huyu mama mbona anaishi banda la ng'ombe? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Maji ya bomba? Uchagani tumezaliwa nayoMaji ya bomba mpaka vijijin huko uhayani.
Wachaga mpo??? Na porojo zenu?
Kumbe uko unachungulia kimya kimya[emoji23][emoji23][emoji23]
Ingekuwa unajua kuwa karagwe ndo inaongoza kulima kahawa na ndizi usingepost vitafiti vyako[emoji1787]View attachment 1301681
Sent using Jamii Forums mobile app
Blah Blah blah.Na teknologia ya asili ya kukamata senene.View attachment 1301686
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimanjaro tu? Kwahiyo sie majirani zenu tuliopo Arusha mnatutenga?
Picha ziko wap[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwan hamna simu nyie.Maji ya bomba? Uchagani tumezaliwa nayo
Umeme tangu 1980's na unatoka kule kule kilimanjaro (nyumba ya Mungu) kilimanjaro hatujui REA wakati kagera wananchi wenye umeme ni 40% tu
Kilimandjaro 90% ya wananchi Wana umeme na bomba upo?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sio tu Tanzânia Bali África mashariki yoteAysee.
Wamachame hamjawahi kuniangusha.
Nashukuru Hekalu la Mengi limewaziba midomo wahaya.
Hakuna Hekalu Kama la mengi vijiji vya Tanzania vyote .
Viva Machame, Viva MOSHI.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23].
Kule uwanja wa fisi wanauza jero jeroWachagga tunaishi ulaya.
Mzungu gani aje kwa wauza senene na nyapu.[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nasikia mwananyamala kuna chimbo la wadada wa kihaya wanauza nyapu kisa umasikini? [emoji23][emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wameyeya hawaaamini macho yao,wanajuta kuingia 18 za mchagaHatupoiii.
Marangu moja Hiyo.
Wale wenzangu maji shingoni wanarudia picha. [emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 1301607
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachaga wote zaidi ya million tatu huishi kwenye nyumba ya mengi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Blah Blah blah.
Tuleteeni jengo lenye hadhi ya mengi.
Maana hatuoni chaajabu mpaka saivi.
Ebu pekua pekua hata yule mama wa vijisenti kama ana nyumba bhasi? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
Mengi Rest in Peace. Uliweza kuwaonesha hawa zarau mdomo kwamba Wachagga hatuna show off nyumba tumeijua baada ya umauti.
Hakuna Mkoa mzima, zunguka kote utakuta Hekalu hili.
R.I.P MENGI BABA LAO.
View attachment 1301693View attachment 1301695
Sent using Jamii Forums mobile app
Inaonekana mnampenda Sana mufuruki.instanbul
Ali mufuruki, ikowapi nyumba yake huko kijijini?
Utawaambia nini watu wanaona Hekalu la Mengi hatuoni kitu huko Bukoba zaidi ya mabanda, marekani wanaita Slums? [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Nyumba zoote za kagera hazijafikia Bei ya msingi wa hili jumbaNa atulie vizuri wagaragazwe maana hamna namna nyingine[emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mengi ni Icon ya Wachagga, pia Tanzania.Wachaga wote zaidi ya million tatu huishi kwenye nyumba ya mengi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kwao kumejaa vilodge tu.na wengine wamejazana huku kimara[emoji23][emoji23] ukiwaona kwenye mwendokasi sasa walivyobanana kama kuku.
Huku wakisubiri mwezi wa kumi na mbili kupanda daladala za buza na treni za 1980 kwenda moshi kutambika na kuongeza vichaa kule uru[emoji23][emoji23]
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu uchagani hali ya hewa Kama brussel ubelgijiAcha wenye uzi waache kutuonesha shamra shamra za X mass wakimbililie mitandaoni kukusanya picha za barabara[emoji3][emoji3]
Mi Sina kelele nyingi nipo Kamachumu nyumbani kwetu nimechill. Hali ya hewa huku kama London. View attachment 1301594
Sent using Jamii Forums mobile app