Ukiwa Moshi ni Kama upo Arusha coz hamna kitu ipo Moshi ukakosa Arusha.mfano mbege
Sent using Jamii Forums mobile app
Anyway....naona kama mlima umesogea karibu saana.
Kituo cha mwendokasi gerezan si wakijua ? Najua wakijua , sasa hicho kituo cha treni kilichoko pembeni ya kituo cha mwendokasi tiketi wanakata hapo , ukiingia mle ndani utakuta jengo lao jeupe watu wanakataUmeniacha njia panda please
Natamani kupata details nichague njia
Sent using Jamii Forums mobile app
Kituo cha mwendokasi gerezan si wakijua ? Najua wakijua , sasa hicho kituo cha treni kilichoko pembeni ya kituo cha mwendokasi tiketi wanakata hapo , ukiingia mle ndani utakuta jengo lao jeupe watu wanakata
Sent using Jamii Forums mobile app
AaahView attachment 1296680Hizo picha za migomba mbona hatuzioni?
Ukuje Babe', uwe unatupa michapo ya njiani
Sawa waziri wa kishumundu.
Hizo picha za migomba mbona hatuzioni?
Tatizo mliopo huko huwa mnatuangusha sana mnaingia mitini aisee nampongeza sana yule jamaa wa Kagera yupo vizuri sana ndio super star wangu wa mwaka huu kwa kujua kutoa picha nzuri za matukio ya mkoa wa Kagera kongole nyingi kwake
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona picha huwa wanapost sana hasa za mjadala?
Hebu pata rasha rasha kwanza
Karibu View attachment 1296371View attachment 1296372View attachment 1296374View attachment 1296373
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha keleleWatume picha gani mkuu? Ni aibu tu. Wakiamua kutuma utaona wanatuma za mahoteli ya watalii wazungu. Kamwe hautaona za vijumba vyao migombani huko. Kiufup wanaji overrate wenyewe . Acha tusubiri hizo za migombani nami nipo hapa sibanduki[emoji3][emoji3][emoji3]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wacha keleleView attachment 1296817 kwetu hamna migomba ila kuna michicha ya kutosha...karibu uongeze damu