Kuna watu hasa wachaga waliona barabara ya kuelekea Kwa kina Ruge ikichongwa huko bukoba vijijin wakajinadi kwao kuna lami mpaka milangon[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hii vunjo wadau wamechanga grader muda huu linasawazisha barabra za kuingia majumbani.Raha sanaView attachment 1297199
Sent using Jamii Forums mobile app
Aika Mbee...!Ndefoni mndenyi dundelya mbeke na ilya mburu vameeku..
Hahaha pia takwimu za serikali zinatutanabaisha kuwa 90% ya Wana kilimanjaro wanaishi maisha Bora (include nyumba) kwahyo hatusemi tu bila evidenceEti hakuna mkoa..... [emoji23][emoji23]
Hiv ulishawah fika bukoba vijijin,muleba na misenyi huko bila kusahau karagwe?
Mzee Baba tembea uone siku hiz mmezidi wahaya Kwa sifa
Sent using Jamii Forums mobile app
Ni kweli asilimia kubwa ya barabara za kawaida za vijin huko uchagani Zina lami,sio highwayKuna watu hasa wachaga waliona barabara ya kuelekea Kwa kina Ruge ikichongwa huko bukoba vijijin wakajinadi kwao kuna lami mpaka milangon[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Sisi kilimanjaro ni maedeleo tu,kina jaap wanawaza kununua Radi kule kwao sumbawanga[emoji3][emoji3]Hii vunjo wadau wamechanga grader muda huu linasawazisha barabra za kuingia majumbani.Raha sanaView attachment 1297199
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu paradiso ya uchagani mkoa namba mbili kwa maisha Bora na makazi bora
Tanzânia nzima tupoKwa sasa hakuna kanda iliyolala ila wanafanya mambo yao kimya kimya. Kuna siku mtajikuta maskini wa kutangatanga, tulia Tanzania ni kubwa
Umelewa rubisi? Kwan hizo picha sio za vijijin huko uchagani ? Hilo ghorofa Ni la kuishi watu lipo rombo vijin huko au ulidhani ni hôtel? Hahaha Kilimandjaro 90% makazi ni Bora kwa mujibu wa takwimuHivi kweli mkuu huoni aibu kutuma mahotel??? Au familia ya mtu inakaa kwenye hizo flats huko kijijini[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787 Naona umeenda ku search insta ndo una screen shot kabisa na kututumia humu. Wachaga maskini sijui mmerogwa na nani??[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ukitaka sifa uwe na vya kuonesha kama wenzenu wa Kagera hata kama ni vidogo hivyo hivyo ndo vyako, jivunie.
Sent using Jamii Forums mobile app
Ingekuwa hivyo kilimanjaro isingekuwa na makazi bora kwa 90% hivi unaweza kubishana na ukweli?[emoji23][emoji23][emoji23]wachaga bwana. Tushawajua ulimbukeni mtupu kelele nyingi
Sent using Jamii Forums mobile app
luambo makiadi,
Mimi nitakuja kwa treni tarehe 23/12/2019
Nitawajuza yanajiri safari nzima, tiketi nimeshakata bwashee!
Wakuu poleni na majukumu, dhumuni la Uzi huu ni kutoa updates mbalimbali za sikukuu ya Krismasi kwa watu waliopo Kilimanjaro, hivyo wale wenye picha mbalimbali mnakaribishwa.
NB: Mimi bado sijafika Kilimanjaro najiandaa na safari ya kutinga Kilimanjaro
Luambo Makiadi
Eindhoven-Netherlands
Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni kibosho juu, jirani kuna Hospitali nzuri sanaKaribu paradiso ya uchagani mkoa namba mbili kwa maisha Bora na makazi boraView attachment 1297580
Sent using Jamii Forums mobile app
We hujui serikali hii Kwa kupika takwimu[emoji23].Hahaha pia takwimu za serikali zinatutanabaisha kuwa 90% ya Wana kilimanjaro wanaishi maisha Bora (include nyumba) kwahyo hatusemi tu bila evidence
Sent using Jamii Forums mobile app
Una uhakika kwamba hakipo popote tz.Ni kweli asilimia kubwa ya barabara za kawaida za vijin huko uchagani Zina lami,sio highway
Mfano
Hilo marangu,marangu mwika,kilema,machame Kibosho,uru ,nk
Hata ambazo hazina lami zina moramu na zinapitika
Wana kilimanjaro Wana juhudi kubwa Sana yaan wanajitoa Sana kuchangia
Vunjo pekee wananchi walichanga bilion 7 kukarabati barabara zote za jimbo hii kitu haipo popote Tanzania
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo kanisa la kibosho mission area ndo mnapostiga Tu .Karibu paradiso ya uchagani mkoa namba mbili kwa maisha Bora na makazi boraView attachment 1297580
Sent using Jamii Forums mobile app
Kilimanjaro tu? Kwahiyo sie majirani zenu tuliopo Arusha mnatutenga?
Kwa makazi , hakuna mkoa unaofikia kilimanjaro , mie bimkubwa anatokea marangu,...napaitaga masaki ya kilimanjaro , ndani ndani huko ghorofa zimejaa , hadi nyumba ya mwsho inayopaka na msitu wa kilimanjaro, hao jamaa nyoko sana, wamejenga sio kidogoEti hakuna mkoa..... [emoji23][emoji23]
Hiv ulishawah fika bukoba vijijin,muleba na misenyi huko bila kusahau karagwe?
Mzee Baba tembea uone siku hiz mmezidi wahaya Kwa sifa
Sent using Jamii Forums mobile app