Monchengladbach
JF-Expert Member
- Jan 29, 2019
- 703
- 514
Wamekimbia wote wameona Moto wa mangi Ni hatari wamekiri kabisa kuwa mangi Ni baba lao
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wamekimbia wote wameona Moto wa mangi Ni hatari wamekiri kabisa kuwa mangi Ni baba lao
Weee nawe kama yule chalii ya bukoba mbwembwe nyingi nenda kabisa Irak na tusikuone humu tenaWakuu habarini za mjadala,nafurahi mjadala umepamba Moto,shukrani nyingi kwako INRI
Monchengladbach na wengine mnaoendelea kuleta picha
Unfortunately krismasi ya mwaka huu nimeshndwa kuja Moshi(roho inaniuma) hii Ni kutokana na ratiba ya ghafla ya shirika nililopo(kazini)
Ilikuwa nije TAREHE 22 na ndege ya Emirates lkn nimeamua ku cancel
Nitaenda Spain kesho kwenye shughuli maalumu
Nitakuwa mjini Bilbao
Ahsanten
Sent using Jamii Forums mobile app
Wachaga wote huishi kwenye hilo ghorofa??Serikali haiwez kupika takwimu kuipendelea kilimanjaro ili iweje?
Hujui kuwa kilimanjaro inavyoonewa wivu? Yaan wameshindwa kbs kudanganya ikabidi waseme ukweli
Vijin kilimanjaro kumeendelea mno haihitaji hata PhD kujuaView attachment 1300205
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapo hujaingia ROMBO, machame, masama,old Moshi,Kibosho,uru,mwika,mamba,kilema,mabogoni, himo duh Ni hatari Hakuna mkoa unaofikia makazi bora vijin zaidi ya kilimanjaro
Ndio maana takwimu za serikali zinatutanabaisha kuwa 90% ya Wana kilimanjaro wanaishi maisha Bora hesabu hazidanganyi
Sent using Jamii Forums mobile app
Ati unasemaj? Check mijengo uchagani hii hapa Ni nyumba ya mtu hamiawii kusema Ni hotelView attachment 1300248
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona naona barabara nyekundu kama kasulu huko kigoma?Hapa ni ndan ndani
Swali la nyongeza?View attachment 1300206View attachment 1300208
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa ni ndan ndani
Swali la nyongeza?View attachment 1300206View attachment 1300208
Sent using Jamii Forums mobile app
Siku hiz wamekuwa wapenda sifa.Kama hice tu zinakimbizwa na bajaji, costa zibebe nani?? [emoji26][emoji26]
nadhani kwa sasa hivi moshi ndio mji unao ongoza kwa kutumia bajaji katikati ya mji!!
Huwezi amini kunafoleni kabisa bajaji hata 50 zimejipanga hizoooo alafu nayo wanasema wana trafic jam [emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Watataka na trafick lights hawa za kuongoza bajaji!!! [emoji38][emoji38]
Wakibisha natumapicha [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu hii hipo wapi nikaitembelee.Wageni mnaokuja moshi msisahau kuja hapa.
#Kikuletwa natural hot springs.View attachment 1298024View attachment 1298025View attachment 1298026View attachment 1298027
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni shangingi?? Mkuu unashangaza ati.Watu na ma shangingi yao TAYARI wapo mgombani ni mwendo wa mbuzi na bia tuView attachment 1300244
Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu unasema barabara ya Rubya haina lami?Barabara ya muleba-rubya bado haijawekwa lami,wameichonga tu
Tanzânia nzima Hakuna wilaya siijui huko muleba ninapita Sana juz kati nilikuwa mlela nshamba
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] hiv akili zako unazielewa?Hapo ni wazungu wanefurahia utunzaji wa mazingira vijin ,kule vijin kwenu kuna wazungu?
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787] Mie Leo nimeshangaa?? Hizo ndo nyumba nzr vijijin moshi?Hizi ndo nyumba wanazopigia kelele hapa kila siku!?? Nimeanza kujua ni kwa nini hawapigi picha na kuzituma[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanavyojisifiaga hapa kama vile wanaendaga kwao peke Yao December .Sisi hatuna maneno na picha za kudownload mitandaoni. Wachaga mjifunze kitu hapa.
Hapa ni Ruzinga, Kiziba, Missenyi. Ndugu zetu wamekodi basi la Frester kuwatoa Dar kuja kula sikukuu na kuwarudisha Dar! Napiga picha kwa kamera yangu mwenyewe[emoji3][emoji3]
Wachaga kelele nyingi mnabebwa na treni kama mizigo. Umaskini mbaya. Kazi kuokoteza vipicha mitandaoniView attachment 1300331View attachment 1300333
Sent using Jamii Forums mobile app
Hilo ni shangingi?? Mkuu unashangaza ati.
Hapa ni Rutabo huko alikozaliwa Kardinali Rugambwa
View attachment 1300332
Sent using Jamii Forums mobile app
Natoka Matamba Njombe Ijumaa tar. 20, nitakuwa Makere - Kasulu kwa muda tarehe 24 natua Moshi kwa wasela, ndani ya Capricorn Hotel, Marangu
Wanavyojisifiaga hapa kama vile wanaendaga kwao peke Yao December .
Hawajui kuna watu wanatumia akili na hela kwenda kwao.
Mi nikionaga mpaka wanapanda coster za buza na kujazana kwenye kuku kwenye treni huwa nazidi kuwadharau hawa wachaga.. Yaan wanashindwa kukodi mabasi kwenda kwao? Jibu ni kwamba wengi na maskini mno KAZI kumiliki vigenge Tu huko kimara[emoji23][emoji23]
Juzi wametangaza kuongeza route za ndege Dar Bukoba kutoka mbili hadi tatu kwa siku Ila tupo kimya wapenda sifa Kwa kuzaliwa[emoji16]
Sent using Jamii Forums mobile app