Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Shamra shamra za Krismasi 2019 Kilimanjaro

Blaza tushakataa kabobo nyingi nenda kwenu kapige picha achana na picha za kutafutia nyuma ya keybord. Mfyuuuu
Marudio, Afu Bukoba kunatisha sijui kwanini? Ndio maana hata Ali mufuruki hakutaka kuzikwa Huko.

Uzuri wa Moshi kila mtu akipita hapa anasifia kweli ni Ulaya.

Bukoba kupo kama Ukiwa, Wazungu wanaogopa kuja kama huku kwetu Marangu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bora hata mwenzio kazitoa kwenye uzi wa wahaya na wachaga hapa hapa JF. Wewe unapotoa hizo zako unapajua?? Kapigeni picha kwenu acha kuoloteza picha nyingine za nyimba za Bukoba mnaziedit na kuzipa majina ya Moshi. Nimekereka[emoji37][emoji37][emoji37][emoji37]
Sasa picha hizi za kudownload jamiiforums kila siku?

Ujue watu wanakucheka? Na wanapita bila comment kwasababu wameziona kila nyuzi. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23][emoji23][emoji23]mtu kakosa nyumba za watu kaanza kupost madimbwi humu.

Mkuu labda nikupe lake burigi iko karibu na chato hukoView attachment 1300958View attachment 1300960

Sent using Jamii Forums mobile app
Emu Toa upupu wako hapa.

Unajua wahaya mna ugonjwa kitaalamu tunaita Schizophrenia and Narcissism?

Sasa hilo bonde la maji linavyotisha nani atakuja huko? Utadhani jehanum ya majini.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Funga macho uone, Crater lake Chala, Moshi, The garden of Eden.

Jishitukie bhasi, ukiona Obama anaomba Ardhi Moshi, kuna kitu alikiona.
4-1.jpeg
chala-boat-new.jpeg
africans-canoe-beautiful-chala-lake-kenya-tanzania-bo-border-87962322-575x460.jpeg
Crater-Lake-Chala-Tanzania.jpeg
walk-to-lake-chala-shore.jpeg
Trip-to-Lake-Chala.jpeg
Lake-Chala-views.jpeg
Lake-Chala-Tanzania.jpeg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Umejisahau na nyingine umezitoa kwenye uzi huu huu na ukazi rename. Natangaza rasmi wachaga hamna kitu cha kutuonesha huko kwenu. KELELE TU

Sent using Jamii Forums mobile app
Imepenya Hiyoooo!

Swala sio ku- rename picha, kwanza ni jambo zuri mtu akisoma anajua ni sehemu gani ukidanganya unajulikana.

Kinacho matter ni uhalisia wa sehemu yaani ni moshi.

Sisi lami zetu ni safi kabisa. Ndio maana tunaandaa Marathon, huko Bukoba pangoni nani aje kufanya marathon barabara mbovu kama wanaishi wanyama? [emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]tunefanikiwa kuwavurugia uzi hawa walewa mbege. Eti shamra shamra za X Mass[emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Sasa hivi sio shamra shamra tena ni kuhaha kutafuta picha kwa magrup yao na mitandaoni[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nshomile sio watu wazuri kabisa[emoji23][emoji23][emoji23]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom