Kwahiyo unataka kila mtu apende mwanamke anaenda Gym sio? Hatuwezi kufanana mzee wewe endelea kupenda ivo ivo afu utamaduni wa mahari ni kama shukrani mana jamii zetu za kiafrika binti hukuzwa chini ya uangalizi wa watu wengi ivo mahari huja kama Asante na wala sioni tatizo juu ya hilo, Huu ujinga wa kuona kila chako ni upuuzi hamia tu uko unakokuona kwa maana ambapo siku mwanaume mwenzio akitaka kukuoa ndio utaona umestarabika..PatheticKuna watu hata bure sioi, huo unene nipeleke wapi? napenda wanawake wanaoenda gym wana afya sio big mamas. Sorry watanzania mimi sijui hiyo tabia yenu ya kupenda watu wenye obesity imetoka wapi.
Alafu kitu sitokuja kutoa hadi nakufa ni mahari, kama it means sitooa Tanzania then so be it, mwanamke tumependana tunafunga ndoa alafu natoa hela kumnunua? what the f? traditions za kishenzi bado tunaendelea kuzikumbatia hadi leo, ndiyo sababu hizi watu wa zamani walikua wanapenda kuzaa mabinti alafu wanawauza utotoni, slavery made this sh*t na we still practice it until today.
Ng'onda ni kiharufu flani kibaya anachokuwa nacho MTU na huwa hakitoki kirahisi hata ujipulizie perfume demu akiwa na ng'onda ukiwa unamkaza kunakuwa na kiharufu flank hivi kibaya so its much annoying when it comes to kwich kwichimimi nataka kujua maana ya hili ng'onda kama lina maana zaidi ya samaki wa kukausha(split dried fish.)ili nisije litumia kumbe lishabadilishwa tafsri
Nimewahi kumsikia mndamba mmoja eti kanunua simu ya kupyatila! Yaani touch! Wale jamaa wanaongea ka wamekula supu ya upupu na mchuzi wa pilipili kichaa!!Hili neno nimelipata kwa jamaa yangu anatokea morogoro(ifakara)
20M ni pesa ya Kula nyapu genuine 2000!Kama huna hela inamaana sio size yako mnalia lia nini? Kuna watu milioni 20 hela ya chai
Kitu Imeshashindiliwa Nani atoe hiyo Pesa, atakuwa Zwazwa
Nisiende kutafuta Binti Mbichi huko kijijini Nijitafunie nije kuhangaika na kulumbembe la mjini
[emoji23][emoji23][emoji23]Nimewahi kumsikia mndamba mmoja eti kanunua simu ya kupyatila! Yaani touch! Wale jamaa wanaongea ka wamekula supu ya upupu na mchuzi wa pilipili kichaa!!
Ng'onda ndo nini1. Ameshazalishwa.
2. Background ya mahusiano yake yote tunayo wananzego.
3. Kashazushiwa kuwa na ng'onda na waliokuwa nae.
4. Mfupi na mnene kiasi kwamba sehemu inayotenganisha mapaja na miguu huwezi kuiona.
Labda mababu wa kizungu ndio watatoa hiyo 10 million na wakitoa jicho ataliwa sana kama kina Lucy Komba 🤣🤣
Harufu mbaya ile wanayotoaga wanawake wachafu ukeni.Ng'onda ndo nini