- Thread starter
- #61
Jennifer kyaka a.k.a odama
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jennifer kyaka a.k.a odama
Kama anasifa za kusifiwa kwanini nisimsifie?Muandishi acha kupenda kusifia sana
Demu ni mzuri😀Haya hapo hana wigi
View attachment 1368460
Kama bikra ipo 40 mil kama haipo wote sawa tu!Sasa kama yeye milioni 20 na mikala wa The Lost Twins asemeje?
View attachment 1368743
mimi ni mbuzi wawili home, ila wanamimba, vipi hapo utanikubaria, ukikosa hiyo 20 njoo uku nitatoa hata mbuzi!😀Haya hapo hana wigi
View attachment 1368460
Ni kweli! Ila hiyo pesa ndefu sana hasa awamu hii. Hajatutendea haki waoaji.Demu ni mzuri
😃😃😃😃😃😃😃😃😃Ni kweli! Ila hiyo pesa ndefu sana hasa awamu hii. Hajatutendea haki waoaji.
Sasa kama yeye milioni 20 na mikala wa The Lost Twins asemeje?
View attachment 1368743
Umemuuliza swali zuri akikujibu nitagDuh! Kwako mwanamke mzuri awe na sifa gani?
Angekuwa chidy mapenzi kamuacha walau na bikra hata moja ningewashauri mtoe iyo pesa ila for now hayo ni mashimo ya taka tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Binafsi kwenye Bongo Movie nawapenda Sana Shamsa na Rose Ndauka basi tu kazi zao na zetu zinatuweka mbali lkn wanastahili kwa matumizi ya Wanaume Rijali na ni wazuri pia na kwa Muonekano wao kuwa nao kimahusiano lazima Uwe mwanaume haswaa maana wamekamilika nahisi wameshindwa kutulia kwakuwa wanakutana na Wanaume wa Daaslam mwishowe wanakosa radha wanayotaka.Utamu unaishaje kwa mwanamke Kama shamshaford