Shogaaaa! Ney naye ni mwanaume wa maana? Maana ninayomaanisha mimi ni heshima sio pesa.
Umesahau juzi kati hapo alivyowatukana wanawake aliozaa nao?Aisee wanaume design ya Ney sio type yangu kabisa hata awe millionaire!
Usijali lolowapi yupo.
Wewe saizi yako mama ubaya tu.
Wewe saizi yako mama ubaya tu.
Ila Dinazarde unajuaje kampendea nn Ney, ajabugi bana kwanza ndio kwanza picha linaanza
mine km kuna kiumbe mvumilivu duniani ni mwanamke haswa kwwnye mahusiano au ndoa
ila akichoka na akisema noo anamaanish wanaume wana makwazo sana nna%nyingi shamsa ndo alipigania penzi lisife ila amechoka sasa
pamoja na yote kwa ney amebugi sana tu mi nampenda sana huyu dada bass tu
Ney ana dharau,kuzalisha wanawake hovyo maanake niniiiii
Mbona sura haijaonyeshwa hii ni photoshop.
Kwani ilikuwaje? Khaaa na mie umbea wa insta umenikalia kushoto siku hizi, sijui kwanini siipendi tena.
Insta paliwaka....Dougie na team yake
Shogaaaa! Ney naye ni mwanaume wa maana? Maana ninayomaanisha mimi ni heshima sio pesa.
Umesahau juzi kati hapo alivyowatukana wanawake aliozaa nao?Aisee wanaume design ya Ney sio type yangu kabisa hata awe millionaire!
Jamani ilikuwaje?? Ebu tumwagie kidogoo naona weshafutaaa....mngescreenshot kidogoo
Shamsi anakula matapishi yake..kipindi kile Ney kawaponda bongo movies shamsi alimponda sana Ney..Zen leo anaenda kumvulia pichu..watt wakike bwana