Shamsa Ford, Ney wa mitego ndani ya penzi zito

Shogaaaa! Ney naye ni mwanaume wa maana? Maana ninayomaanisha mimi ni heshima sio pesa.
Umesahau juzi kati hapo alivyowatukana wanawake aliozaa nao?Aisee wanaume design ya Ney sio type yangu kabisa hata awe millionaire!

Usijali lolowapi yupo.
 
Yaani hapo kwa ney karuka mikojo kakalio uharo


 
Mbona sura haijaonyeshwa hii ni photoshop.

Huoni tako la box? Hapa Tanzania kuna mwanamke gani ana tako boxshaped??!
Moyo unaamini, roho inakubali mwili umegoma.Ndo yeye huyoo
 
Shogaaaa! Ney naye ni mwanaume wa maana? Maana ninayomaanisha mimi ni heshima sio pesa.
Umesahau juzi kati hapo alivyowatukana wanawake aliozaa nao?Aisee wanaume design ya Ney sio type yangu kabisa hata awe millionaire!

Shamsa anakula matapishi yake..kipindi kile Ney kawaponda bongo movies shamsa alimponda sana Ney..Zen leo anaenda kumvulia pichu..watt wakike bwana
 
Huoni tako la box? Hapa Tanzania kuna mwanamke gani ana tako boxshaped??!
Moyo unaamini, roho inakubali mwili umegoma.Ndo yeye huyoo

Hana lolote huyo lolowapi ni mahaba yake tu kwa bibi michirizi ndio yanayompofua.
 
Last edited by a moderator:
Shamsi anakula matapishi yake..kipindi kile Ney kawaponda bongo movies shamsi alimponda sana Ney..Zen leo anaenda kumvulia pichu..watt wakike bwana

Hao Bongo Movie wote ni mabongolala tu.Hata Nisha si amewahi ku date naye?
 
Dah....
 

Attachments

  • 1428420877649.jpg
    21.1 KB · Views: 1,182
Reactions: amu
Amefuta.....kakutana na kabambe yake Leo.Kanywea Dougie mpaka basi.

Kiboko yake nani tenaa?
Kwa sababu ganii?
Funguka hapa hadi natetemeka kwa umbeya ujue? warumi unaijua hii?
 
Last edited by a moderator:
Hiv si ndio alikua anasema mme wake hawaachani ooo ninii yamemshindaa eeeeee hehee sasa Ney nae lo hapo shamsa kabugi kabisaaa

Toka lini wanawake nyie mkaaminika?
 
Hiyoo picha ipo passionate kwelii kama Dinazarde na msukuma wake vileee
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…