Shamsa Ford, Ney wa mitego ndani ya penzi zito

Shogaaaa! Ney naye ni mwanaume wa maana? Maana ninayomaanisha mimi ni heshima sio pesa.
Umesahau juzi kati hapo alivyowatukana wanawake aliozaa nao?Aisee wanaume design ya Ney sio type yangu kabisa hata awe millionaire!

Si alisemaga hana mpango wa kuoa? Huyo shamsa anachezewa tu kidude chake ,tena nasikia ana mimba juu, anajishauaje uko insta na ma wifi zake?
 
Hahahaaa uwiiii!Umenikumbusha yule mume wa Shamsa ile sura sio aisee Mungu anisamehe tu ila ni afadhali mara 100 ya Ney japo ametoa malalamiko ila kwa Ney kabug sanaaa.

Mmh!! Nyie huyu ney anapataga mademu wakali, si unamkumbuka yule skyner aliyezaa nae mbongo Movie? Demu mkali ila kazaa na kichaa, nasikia ana dudu la haja jamaa ndo maana wanamshobokea
 
Si alisemaga hana mpango wa kuoa? Huyo shamsa anachezewa tu kidude chake ,tena nasikia ana mimba juu, anajishauaje uko insta na ma wifi zake?

Yeye atakua wa nne kuzalishwaa
 
Warumi alisema eti huyo mume wake ana sura nzito kama dipa ya mtoto iliyonyewa

Mmh!! Ile sio sura kwa kweli, sura nzito kama uji wa dengu, mwanaume anatisha kama jambazi, halafu huyu shamsa anapendaga wanaume wahuni huyu nshamuona
 
Ama kweli wanaume mjini hakuna, Huyu jamaa alikuwa anawakandia bongo movie malaya, na yeye anajisevia hapo hapo. Na wadada nao wanakubali tu
 
Mmh!! Nyie huyu ney anapataga mademu wakali, si unamkumbuka yule skyner aliyezaa nae mbongo Movie? Demu mkali ila kazaa na kichaa, nasikia ana dudu la haja jamaa ndo maana wanamshobokea

Ukubwa wa pua sio wingi wa makamasi
 
Mwanaume hasifiwi sura bwana
Cc: warumi.

Ata kama mwenzangu, ila sio sura ya ney na huyo dick, uwa najiuliza pale tu wako hai sura ziko vile, wakifa izo maiti zao zitakuwaje? Hapana kwa kweli, mungu anisamehe tu ptuuu!! Sura muhimu binamu, ata sura ya mbuzi si haba kwa kweli inaeleweka
 
Last edited by a moderator:
Anasifiwa kukukojoza kitandani na kumake money,mmmh ila na kasura kawepo jaman kakukunyegezaaaa

Sura muhimu mwenzangu, maana kuna sura nyingine ata homoni za genye hazipandi..
 
Teh Teh
 

Attachments

  • 1428422209982.jpg
    19.9 KB · Views: 563
Mmh!! Nyie huyu ney anapataga mademu wakali, si unamkumbuka yule skyner aliyezaa nae mbongo Movie? Demu mkali ila kazaa na kichaa, nasikia ana dudu la haja jamaa ndo maana wanamshobokea

Weee dudu lake linampita Kiba kwelii?
 
Mmh!! Ile sio sura kwa kweli, sura nzito kama uji wa dengu, mwanaume anatisha kama jambazi, halafu huyu shamsa anapendaga wanaume wahuni huyu nshamuona

Haaa hamna sio mbaya sana, ivi kuna mwanaume mbaya tanganyika zaidi ya baba kijacho?
 
Ata kama mwenzangu, ila sio sura ya ney na huyo dick, uwa najiuliza pale tu wako hai sura ziko vile, wakifa izo maiti zao zitakuwaje? Hapana kwa kweli, mungu anisamehe tu ptuuu!! Sura muhimu binamu, ata sura ya mbuzi si haba kwa kweli inaeleweka

Mweee! Binamu tema mate chiniii, kwa unavokandia ivo wenzako watajua ww sura tamu kama idriss ohoo utatongozwa bureeee!
Mwanaume dushe na jaramba tuuu sura hata nyani anayo!
 
Sura muhimu mwenzangu, maana kuna sura nyingine ata homoni za genye hazipandi

Alokwambia sura inapandisha genye nani! Kama ni ivo marehemu Remmy Ongara asingekuwa anawalamba.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…