Shamsa Ford, Ney wa mitego ndani ya penzi zito


Namtamani sana hili Jimama, ila sina mbinu nitawezaje kulipata...na kuna mwingine anaitwa Mariam Mbewa...!
 
Najaribu kumsaidia kijana mwenzetu kabla ajabobea kwenye haya mambo najua mnajifanya mnampenda ila mnamng'ong'a.. Siamini ukiwa na kaka au boyfriend kama warumi utaishi kwa amani

Ulikuwa unatakaje labda? Acha kushoboka sina time na wewe nipotee *****
 
Mkuu una tatizo ujijui tu, mwanaume aliyekamilika awezi kuwa hivi.. Nakuhurumia sababu ni unconditional haujui kama una tatizo.

Niwe mwanamke, mwanaume au shoga, wewe ulikuwa unatakaje labda? Maana naona unashoboka wakati sikujui au una matatizo ya akili?
 
Najaribu kumsaidia kijana mwenzetu kabla ajabobea kwenye haya mambo najua mnajifanya mnampenda ila mnamng'ong'a.. Siamini ukiwa na kaka au boyfriend kama warumi utaishi kwa amani

Sasa kwa taarifa yako warumi ana galfriends kama kumi, mie nakung'ong'a wewe nakuona kama mshamba fulani ivi.Labda kama umempenda umeshindwa kumwambia.
Jisaidie kwanza wewe
Alafu usiseme kama nikiwa na boifrend.Ndo ninaye sasa.mimi ndo gf wa kumi wa warumi.
 
Last edited by a moderator:
Leo nachapia kuandikaa eti huku badala ya huko lakin kwani mie siwezi kua south acheni mazarau

Wewe upo Southhampton.unamkumbuka yule shoga yetu alotuambia tunaishi uingereza kwa bahati nassib? Kwiii sijui alifia wapi na pilipili ngabu wake.
 

Achana nae huyo ana matatizo ya akili, we unamuona mzima?
 
Last edited by a moderator:
Wewe upo Southhampton.unamkumbuka yule shoga yetu alotuambia tunaishi uingereza kwa bahati nassib? Kwiii sijui alifia wapi na pilipili ngabu wake.

Hhhhaaaaaa namkumbuka duuuu kipindi kile michambo tu
 
Warumi alisema eti huyo mume wake ana sura nzito kama dipa ya mtoto iliyonyewa

Toba....walahi ile sheria ikianza kukata jf members wengi tutakutana Segerea....hatutohitaji tena computer na simu..tutakuwa tunadiscuss ishu zetu live.
 
Toba....walahi ile sheria ikianza kukata jf members wengi tutakutana Segerea....hatutohitaji tena computer na simu..tutakuwa tunadiscuss ishu zetu live.

Hhhhaaaaaaaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…