Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahyo kiba ana duduzile la maana!!!Tamu thanaaaaaa
Angalia pale katiii...Kwahyo kiba ana duduzile la maana!!!Tamu thanaaaaaa
Uwiii! Toba lailaiiii, weka pichaaaa!
Picha wajameniiii
Huyu warumi ni jinsia gani? Au mambo safi?
Unaposema uku south africa ina maana na wewe upo uko au tukueleweje? Ebu usinivunje mbavu apa.... jamaa anajua kuvaa na tumiguu twake kama banio la ugali
Hunijui au unataka nikalipe faini ya mil 3?
Nataka nijue kwanza ya huyo jamaa anaeshinda kwenye thread na kina dada. Au sio mzima?
Hunijui au unataka nikalipe faini ya mil 3?
Unaposema uku south africa ina maana na wewe upo uko au tukueleweje? Ebu usinivunje mbavu apa.... jamaa anajua kuvaa na tumiguu twake kama banio la ugali
Angalia pale katiii...
Hahahaaa, watu mnapenda umbea sijapata ona.....looh!
Nyie jueni tu ni handsome wa hatariii!
Angalia pale katiii...
Hahahaaa,ujue akili zako sio nzuri? Yaani nacheka balaa
Na wewe unafuata nini kwenye thread za kina dada kama na wewe sio dada? Tutolee umbea wako apa
Plizźzzzzzzzz
Hizi thread sio za kina dada ni za jf, walaumu modes kwa kuweka hili jukwaa.Unakaribishwa pia.Ukitaka kujua kama warumi ni mzima au la jifungie naye chumbani japo dakika moja
Mfyuu zake, anajishaua namtazama tu anavosema eti huku south kwiiii!
Najaribu kumsaidia kijana mwenzetu kabla ajabobea kwenye haya mambo najua mnajifanya mnampenda ila mnamng'ong'a.. Siamini ukiwa na kaka au boyfriend kama warumi utaishi kwa amani