HSE Officer
JF-Expert Member
- Apr 10, 2023
- 665
- 892
Full moon ndio wapMagazeti ya kijiji mnanunua kwa Bei hio pesa za kuchezea mnazo.
Njooni fully moon hio Kila siku unatoa jasho tu na change zinabaki
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Full moon ndio wapMagazeti ya kijiji mnanunua kwa Bei hio pesa za kuchezea mnazo.
Njooni fully moon hio Kila siku unatoa jasho tu na change zinabaki
Mussa HassanFull moon ndio wap
Ni kweli wengi wanauzaMachangu wengi wameingia kwenye sanaa,Acha waoneshe rangi zao
Ova
Kuna jamaa yangu katoka Kilosa kaja mjini, kawaambia washikaji ana 1M anamuhitaji celeb mmoja maarufu huko kwenu Dsm. Jamaa wakafanya kazi mrembo katimba site, kala 1M yake mbali na gharama zingine zote, dalali kala 150K. Huwa nikimuona huyo demu kwa TV natabasamu tuNdiyo, si unajua kuna watu wana fantasy ya kula masuperstar
Unashangaa hiyo 300k, kuna watu wanalipia zaidi ya 1,000k kulala na hao watu maarufu
Ukifanikiwa kulala naye unagundua hana maajabu kabisa yaani 🙈🏃🏃
Hayo ndiyo matumizi halisi ya Fedha zake.Kuna jamaa yangu katoka Kilosa kaja mjini, kawaambia washikaji ana 1M anamuhitaji celeb mmoja maarufu huko kwenu Dsm. Jamaa wakafanya kazi mrembo katimba site, kala 1M yake mbali na gharama zingine zote, dalali kala 150K. Huwa nikimuona huyo demu kwa TV natabasamu tu
Alafu Mwamba atumii kilevi, wapambe waliokuwa wamezoea ngumu kumeza wanaagiza mabapa mpaka wanakata moto, celeb yeye anakunywa hennesey tuHayo ndiyo matumizi halisi ya Fedha zake.
Tunatafuta fedha kwa shida alafu ujibane kwenye kuzitumia, umeona wapi 🤪
Hatari sana MkuuAlafu Mwamba atumii kilevi, wapambe waliokuwa wamezoea ngumu kumeza wanaagiza mabapa mpaka wanakata moto, celeb yeye anakunywa hennesey tu
Kuna wengine hata 2m siwezi kukubali.Kwa hiyo hela hata km ni demu wako hawezi kukataa.
Ametengewa 300k mezani, hakuna mwanamke anayeweza kukataa.
Fanya research utaniambia, hata km ni mke wa mtu.
Nikiwa mojawapo. Hao ni wale wanaojiuza.Wapo wanaokataa ila wachache ila wengi wao hawapindui kwenye hela
Mwambie huyo, wengine hiyo 300k tunaipata kwa masaa tu tukiwa offisini. Kwa nini uzuzuke nayo. Halafu si wanawake wote watakuvulia nguo sababu ya pesa, wapo wenye maisha ya kawaida lakini wanathamini miili yaoMkuu ata m15 usingemgonga, umekariri..
Kwa maelezo yako ni njaa zinazowasumbua, sasa asie na njaa alieridhika je? 1.5m ndo umeona hela ya kumzuzua mwanamke msomi mwenye hela zake na ana mtu probably more good looking than u anaeweza kumudu mara 5 ya 1.5 yako?? Acha genaralisations 😂
Hongera kuwa mmoja wao 🫡Nikiwa mojawapo. Hao ni wale wanaojiuza.
Babu wa mchongo 🤣😂🤒 GrahamsBei elekezi ni ngapi? Tag location
NakubarMussa Hassan
😂😂😂Kuna wengine hata 2m siwezi kukubali.
🤣🤣Hongera kuwa mmoja wao 🫡
Hiyo 2m naweza ipata bila kudanga. Ni mshahara wangu wa nusu mwezi tena net. Why nijiuze loh😂😂😂
Upo sirias au unatania? Yaani 2m
2,000,000/=
Elfu kumi ziwe mia mbili
Elfu tano ziwe mia nne unakataaa kutoa K?
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣
Au unaangalia "mazingira" kwanza pamoja na "usiri"
🤣 Babu katika ubora wakoHayo ndiyo matumizi halisi ya Fedha zake.
Tunatafuta fedha kwa shida alafu ujibane kwenye kuzitumia, umeona wapi 🤪
Okay Tajiri. Huna Baya Tajiri. Umepoaaaa, Umepoaaaa 🤣🤣Hiyo 2m naweza ipata bila kudanga. Ni mshahara wangu wa nusu mwezi tena net. Why nijiuze loh
Mimi siwezi kujiuza, nakuwa na mtu ambaye ni mpenzi wangu. Hiyo 2m haiwezi kuvua utu wangu.🤣🤣
Huwa siamini kiviiile hasahasa wale wanawake wanaosema wanakataa. Huwa ishu ni mazingira na uwepo wa usiri. Kuna don mmoja alikaziwa na demu mmoja pisi kali(corporate lady) mwenye standards za juu. Watu tukaamini huyu Dada ana msimamo. Don yule alipanda dau mpaka 2.5m kumla kwa usiku mmoja tu, Dada wa Standards alikataa katakata, sasa Don yule akapanda pipa akarudi zake mkoani huko kwenye miradi yake.
Bwana wee kumbe baadae. Kwa usiri mkubwa yule Dada wa Standards, alipandishwa ndege na Don kimyakimya akapeleka K mkoani Kimyakimya. Siri ilikuja kujulikana Baadae mno shoga yake huyo Dada ndio aliitoa siri.
Kwa hiyo wapo wengine wanakaza kutokana na Mazingira au kukosekana kwa usiri. Sanasana wadada wa Standards