Iceberg9
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 24,893
- 47,768
Una balaa wewe, hebu uwe na hofu ya MunguHatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Una balaa wewe, hebu uwe na hofu ya MunguHatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Does death come to the wicked and leave innocent behind..?
Ameondoka na uzuri wake.. Gone too soon
Haaaaa Dada ulipotea na umerudi kwa fujo kweli kweliHatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Thibitisha hilo huku dadaNdiyo nina utu,ndo maana nimeumia fala mmoja kutoa mkewe kafara kisa ubunge. Bora ukose mali ila usikose Hekima.
Kuna ID moja humu huwa inajua vyanzo vya vifo vya watu maarufu wote siyo hivyo tu,hata magonjwa yao walio hai.
Mada zote za TANZIA ukizipitia humu utaikuta hapo inapiga udaku LAZIMA!
Inawezekanaje hii?
Hapo sasaMimi ni mtumishi wa Mungu. Tale ndo anaendesha maisha yake kwa kutumia waganga.
Rafiki upo? 🤔I think you are not fine in your fore brain, why having a childish conclusion like this?
Have sorry to the man.
Sent from my TECNO KB7j using JamiiForums mobile app
Umejuaje?Yule ni mshirikina balaa. Anaamini sana nguvu za gizani.
Pole Tale, huyu mkewe si walikuwa wanakaa nae Mikocheni Warioba.
Inategemea na Maagano, kawa wa Pembeni Wameisha kafara inaanza kutafuna wa ndani.Hivi una dhani ni rahisi kutoa kafara enhee? Tena kwa mtu unayeshea nae kitanda na mmezaa watoto?
Muda mwingine utajichumia dhambi bila sababu ya msingi
Mimi ni mtumishi wa Mungu. Tale ndo anaendesha maisha yake kwa kutumia waganga.
naomba niandike kitu kwa herufi kubwa yaani msisitizo. JAMANI HAPA NAAMINI KABISA HUYU JAMAA KAHUSIKA KAMA KAFARA,MNASHANGAA HILI MNGESHANGAA LA MWAMPOSA KUTOA KAFARA LA WATU 20 KULE MOSHI..MWAKA FULANI NILIKAA SEHEMU NA MSHIKAJI WANGU TUNAPIGA STORY NA MENEJA FULANI WA MZIKI MJANJAMJANJA ALIYEKUWA WA KWANZA KUMTOA MSANII NAMBA MOJA WA BONGO FLEVA KATIKA STORY JAMAA ALIKUWA ANASIKITIKA SANA JUU YA MWANADADA MDANGAJI KIPINDI HICHO ALIYEANZIA KWENYE MOVIE KWA SASA ANAJULIKAN KAMA MIMBAJI INGAWA AAFAKE FAKE TU MZIKI WENYEWE PIA ANAJULIKANA KWA UJASIRIAMALI WA KUPIKA MISOSI,MENEJA HUO ALIMPELEKA MWANADADA HUKO NDANINDANI KWA MGANGA MAARUFU ALIYEMUAMBIA AMTOE BINTI YAKE KAMA KAFARA NA DADA ALIKUBALI KWA MOYO MMOJA HUYU BWANA MENEJA AKAMUAMBIA MGANGA TUTARUDI,WALIVYOONDOKA AKAMUAMBIA MWANADADA SIHUSIKI KWENYE HILI DEAL,BINTI BADO YUPO HAI SIJUI BADAYE ALIMTOA NANI KAFARA MAANA MAMBO YAKE KWENYE MISOSI SIYO MABAYA
NIWAKUMBUSHE PIA MBONGO FLEVA NAMBA MOJA NA KISA CHA BIBI YAKE WANAOJUA HIYO STORY SIYO SIRI BIBI ALIDANJISHWA YUKO KWENYE VIDEO YAKE YA KWANZA ILIYOMTOA
Hahahaha, duhDuh!! Watu wana roho ngumu, kukubali kumuua mwanao kisa Umaarufu na Utajiri, Huyo Muuza Misosi nishamjua. Ehe tupe story kuhusu huyo Bongo Fleva namba 1 na Bibi ake, walimtoa kwa mganga huyuhuyu aliepelekwa muuza Misosi? Sijui mwisho wao utakuaje naona wanazidi fanikiwa[emoji33][emoji33]
Nahisi sio wewe uliopost hapa, nahisi tuu..Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
TrueIngekua kupata pesa unamtoa mke basi tungekua tumefanya hayo kitambo,ushirikina wa damu inahusu damu yako ya kuzaa sio mke hata siku moja...angalia watu wote wenye pesa za ulonzi utaona kazika watoto na ndgu wakutosha ila sio mke
!
!
Kuna mengi sana aisee....na wasivyojua kuchelewesha hawa jamaa ukute washazika
Huyu kwenye taarifa za vifo hajambo. Aliwahi kutushika ile siku jiwe alipotokomea. Alidai yuko mahututi moyo wake sijui una pacemaker na makorokoro gani alisema. Siku chache tukaona hotuba ya uteuzi "mgonjwa wa moyo" akahutubia. Taarifa za kichawi hazina ushahidi, na bila ushahidi sikubali maneno ya kuambiwa.Mkuu Victoire sijawai ona umechukia iv hahahahaaa