TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

dadaqe Kayumba mtoto wa watu anaimba balaa lakini hatoboi kumbe watu wana njia zq pqnya
 
Kuna ID moja humu huwa inajua vyanzo vya vifo vya watu maarufu wote siyo hivyo tu,hata magonjwa yao walio hai.

Mada zote za TANZIA ukizipitia humu utaikuta hapo inapiga udaku LAZIMA!

Inawezekanaje hii?
Mimi ni mtumishi wa Mungu. Tale ndo anaendesha maisha yake kwa kutumia waganga.
Hapo sasa
 
Hivi una dhani ni rahisi kutoa kafara enhee? Tena kwa mtu unayeshea nae kitanda na mmezaa watoto?


Muda mwingine utajichumia dhambi bila sababu ya msingi
Inategemea na Maagano, kawa wa Pembeni Wameisha kafara inaanza kutafuna wa ndani.
 

Duh!! Watu wana roho ngumu, kukubali kumuua mwanao kisa Umaarufu na Utajiri, Huyo Muuza Misosi nishamjua. Ehe tupe story kuhusu huyo Bongo Fleva namba 1 na Bibi ake, walimtoa kwa mganga huyuhuyu aliepelekwa muuza Misosi? Sijui mwisho wao utakuaje naona wanazidi fanikiwa😱😱
 
Hahahaha, duh

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ingekua kupata pesa unamtoa mke basi tungekua tumefanya hayo kitambo,ushirikina wa damu inahusu damu yako ya kuzaa sio mke hata siku moja...angalia watu wote wenye pesa za ulonzi utaona kazika watoto na ndgu wakutosha ila sio mke
True
 
Mkuu Victoire sijawai ona umechukia iv hahahahaaa
Huyu kwenye taarifa za vifo hajambo. Aliwahi kutushika ile siku jiwe alipotokomea. Alidai yuko mahututi moyo wake sijui una pacemaker na makorokoro gani alisema. Siku chache tukaona hotuba ya uteuzi "mgonjwa wa moyo" akahutubia. Taarifa za kichawi hazina ushahidi, na bila ushahidi sikubali maneno ya kuambiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…