Simara
JF-Expert Member
- Oct 1, 2014
- 7,512
- 23,925
Kaumwa nini kwani twin
Twin shida ilikua kupumua, si unajua ukifika ICU kusurvive inakua issue.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kaumwa nini kwani twin
Anakosea kivip?!Unakosea sana
Duuh! Kama shida ni kupumua basi inawezekana ni CoronaTwin shida ilikua kupumua, si unajua ukifika ICU kusurvive inakua issue.
Mkuu chunga mdomo wako saana....huwa unaandika shutuma zisizo na misingi wala miguu.Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Twin nimeogopa asee!
Yule dada alikuwa mzuri sana
Acha kuuonea mdomo wangu. Mdomo wangu haujahusika chochote katika kuandika hapa.Mkuu chunga mdomo wako saana....huwa unaandika shutuma zisizo na misingi wala miguu.
Tuwe na akiba.
Humu kuna watu wakivimbiwa mahindi ya kukaanga basi wanaropoka ropoka chochote tuMkuu chunga mdomo wako saana....huwa unaandika shutuma zisizo na misingi wala miguu.
Tuwe na akiba.
Ndiyo nina utu,ndo maana nimeumia fala mmoja kutoa mkewe kafara kisa ubunge. Bora ukose mali ila usikose Hekima.
Kisa Mjengoni october[emoji24][emoji24][emoji2307]naomba niandike kitu kwa herufi kubwa yaani msisitizo. JAMANI HAPA NAAMINI KABISA HUYU JAMAA KAHUSIKA KAMA KAFARA,MNASHANGAA HILI MNGESHANGAA LA MWAMPOSA KUTOA KAFARA LA WATU 20 KULE MOSHI..MWAKA FULANI NILIKAA SEHEMU NA MSHIKAJI WANGU TUNAPIGA STORY NA MENEJA FULANI WA MZIKI MJANJAMJANJA ALIYEKUWA WA KWANZA KUMTOA MSANII NAMBA MOJA WA BONGO FLEVA KATIKA STORY JAMAA ALIKUWA ANASIKITIKA SANA JUU YA MWANADADA MDANGAJI KIPINDI HICHO ALIYEANZIA KWENYE MOVIE KWA SASA ANAJULIKAN KAMA MIMBAJI INGAWA AAFAKE FAKE TU MZIKI WENYEWE PIA ANAJULIKANA KWA UJASIRIAMALI WA KUPIKA MISOSI,MENEJA HUO ALIMPELEKA MWANADADA HUKO NDANINDANI KWA MGANGA MAARUFU ALIYEMUAMBIA AMTOE BINTI YAKE KAMA KAFARA NA DADA ALIKUBALI KWA MOYO MMOJA HUYU BWANA MENEJA AKAMUAMBIA MGANGA TUTARUDI,WALIVYOONDOKA AKAMUAMBIA MWANADADA SIHUSIKI KWENYE HILI DEAL,BINTI BADO YUPO HAI SIJUI BADAYE ALIMTOA NANI KAFARA MAANA MAMBO YAKE KWENYE MISOSI SIYO MABAYA
NIWAKUMBUSHE PIA MBONGO FLEVA NAMBA MOJA NA KISA CHA BIBI YAKE WANAOJUA HIYO STORY SIYO SIRI BIBI ALIDANJISHWA YUKO KWENYE VIDEO YAKE YA KWANZA ILIYOMTOA
Haya mambo yapo. Wengine huwa wanatoa kafara hadi watoto wao kisa mafanikio ya kisiasa. Yaani ukiamini waganga utajikuta unafanya mambo ya ajabu.
Boss Mshanajrhizi rumours zina ukweli wowote?Ameondoka na uzuri wake.. Gone too soon
Inaelekea jamaa ni kigagula sanaNishakutana na uyu jamaa kibaha kwa matias kwenye kichochoro flani ivi alafu huo mtaa kuna mganga
Tale ni mganga pia kumbukaMhh niliwah soma sehemu upande wa kina tale kunakuwa na vifo vya ajabu ajabu...rip dada
Dada yangu kwa majibu yako tu inaonesha huna uhakika na majibu yako! Halafu mtu kuugua ghafla au mtu kuwa mshirikina isikuhalalishie kuwa yeye ndo kafanya mamboNdiyo tena alikuwa ICU. Mtu mwenye afya yake njema akaugua ghafla ugonjwa hauna kichwa wala miguu.
Ingekua kupata pesa unamtoa mke basi tungekua tumefanya hayo kitambo,ushirikina wa damu inahusu damu yako ya kuzaa sio mke hata siku moja...angalia watu wote wenye pesa za ulonzi utaona kazika watoto na ndgu wakutosha ila sio mke
Sio huyo,yule ni shamsa Ford.Huyu mdada hahusiki kabisa hukoAlikua amejiandaa na yupo kwenye michakato kugombea ubunge UWT viti maalumu..RIP Shamsa