TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

Hivi wewe una shida gani? Una hakika amemtoa kafala? Mbona kaka wa tale kasema wazi marehemu alikuwa na vidonda vya tumbo?
Dada yangu kwa majibu yako tu inaonesha huna uhakika na majibu yako! Halafu mtu kuugua ghafla au mtu kuwa mshirikina isikuhalalishie kuwa yeye ndo kafanya mambo

Halafu huyo Victoria anaavoandika kama walikua wote vilingeni , jamani sio vizuri kuchafua watu kwa mambo ya kubuni

Sio vizuri kuchafua watu ili na wewe uonekane umechangia kama kitu hauna ushaidi sio lazima utoe comment pita na emmoj ondoka zako

Mke wa babu tale ndio alikua yupo kwenye michakato ya kugombea ubunge ccm UWT viti maalumu kwa Msaada wa babu tale mwenyewe babu tale ana majonzi hacheni kumsingizia mambo mazito hivi
 
Sio huyo,yule ni shamsa Ford.Huyu mdada hahusiki kabisa huko

Shamsa Ford yule mdangaji kichwa hakijatulia labda akagombee ujumbe w a nyumba kumi mtu mwenyewe dalasa la Saba Nani atampa ubunge wa viti maalumu UWT tena serikali hii ya Maghufuli

Shamsa Kombo wa babu tale ndio alikua amejiingiza kwenye siasa target yake ni UWT

I know her in person
 
Madini ni mtaji,miundombinu ya kisasa lazima upate riziki tu hakuna ulonzi
Tena kaa kimya kabisaaaa. Rafiki wa dada angu mumewe n mchimba madini kwa miaka takriban 8 hakuwa ktk kiwango kizuri financially, ila mwaka juz kaua dada zake 2 mmoja aliolewa, yaan hata msiba haujamalizwa vizuri (siku 40) kashusha magari makubwa 2 ya mizigo na kujenga bonge la jumba la kifahari.

Mwaka jana kaua mtoto wake mdogo wa miaka 2 na wazaz wa mkewe wote wawili walikufa sku 1 kwa ajali ya pikipik, ndipo ndugu wa mwanamke wakatafuta kujua chanzo n nn, wakakuta mkwe ndo aliyefanya hiyo mission.

Ndipo madudu yalipoanza kufukuliwa na kujulikana wazi. Ule mgogoro ulifikia hatua mtu na mkewe kutengana, but haikuwa haja, kwan wazazi plus mtoto hawawezi kurud uhai, bas mkewe karudi kwa mumewe.

Na saiv maisha yao hayako pakubwa san couz masharti yamekiukwa, na pia huyo mwanaume tatzo hakumshirikisha mkewe.

Wee Dunia ina mengi hii, acha kabisaaa.
 
Kwanamna nijuavyo mke anauma sana tena sana. Ni ajabu na kweli katika hali hii mtu yuko busy na simu wakati wa msiba. Mke ananiachia watoto wanne...Nawaza watoto wanakua bila Mama, Nawaza ni nani atakayefit kunisaidia kuwalea hao watoto. Sidhani hata mama ataweza hili..Nimewaza sana na kuconclude ya walimwengu, sometimes usikute yana ukweli mtupu.

Picha kwa hisani ya Dar_story IG Account
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1491215
Katoa kafara, kwasababu ukitoa kafara utakiwi kabisa kuonyesha uzuni wala kulia
 
Tena kaa kimya kabisaaaa. Rafiki wa dada angu mumewe n mchimba madini kwa miaka takriban 8 hakuwa ktk kiwango kizuri financially, ila mwaka juz kaua dada zake 2 mmoja aliolewa, yaan hata msiba haujamalizwa vizuri (siku 40) kashusha magari makubwa 2 ya mizigo na kujenga bonge la jumba la kifahari.

Mwaka jana kaua mtoto wake mdogo wa miaka 2 na wazaz wa mkewe wote wawili walikufa sku 1 kwa ajali ya pikipik, ndipo ndugu wa mwanamke wakatafuta kujua chanzo n nn, wakakuta mkwe ndo aliyefanya hiyo mission.

Ndipo madudu yalipoanza kufukuliwa na kujulikana wazi. Ule mgogoro ulifikia hatua mtu na mkewe kutengana, but haikuwa haja, kwan wazazi plus mtoto hawawezi kurud uhai, bas mkewe karudi kwa mumewe.

Na saiv maisha yao hayako pakubwa san couz masharti yamekiukwa, na pia huyo mwanaume tatzo hakumshirikisha mkewe.

Wee Dunia ina mengi hii, acha kabisaaa.
Huoni kua kaanza kufilisika ndio hela za ushirikina hazidumu,kuna watu wamefanya uwekezaji mkubwa sana na wamepata sana plus ndgu zao kufaidika
 
Huoni kua kaanza kufilisika ndio hela za ushirikina hazidumu,kuna watu wamefanya uwekezaji mkubwa sana na wamepata sana plus ndgu zao kufaidika
Hao unasemea weee n kuwa wanafanya ulozi wa siri pasipo ndugu kujua, yaan miradi mikubwa iendeshwe kiholela, khaaaah weee acha utan mkuu, tusidanganyane hapaah
 
Hao unasemea weee n kuwa wanafanya ulozi wa siri pasipo ndugu kujua, yaan miradi mikubwa iendeshwe kiholela, khaaaah weee acha utan mkuu, tusidanganyane hapaah
Nachosema huwezi kujua,migodi mikubwa inatoa madini siku zote kwasababu wamewekeza sana kwenye miundombinu na kuajiri geologist,kwa mengi ametoa madini mda mrefu.
Sisi tunaamini ukiweka mtaji na kuajiri wataalam wa miamba unapata.
Hao walonzi unaosema hakuna mwenye mgodi wa kisasa wala kuweza kuajiri wataaalam.
Geologist anapewa 15% share kisheria kwanini asikupatie mawe kitaalam kwa kufuata miamba
 
Wanatumikishwa kulingana na mahitaji ya muhusika, wanakuwa vitega uchumi, mfano kuna mwingne msukule wake anauweka kutafuta na kuvuta hela (chuma ulete), mwingine anauweka ulinzi wa mali zake asifirisike (lighambu(, mwingine anauweka km kivutio cha watu ktk kazi zake (lomwele). Hivyoooh yaaan

Duuh hayo ni mazito
 
Nachosema huwezi kujua,migodi mikubwa inatoa madini siku zote kwasababu wamewekeza sana kwenye miundombinu na kuajiri geologist,kwa mengi ametoa madini mda mrefu.
Sisi tunaamini ukiweka mtaji na kuajiri wataalam wa miamba unapata.
Hao walonzi unaosema hakuna mwenye mgodi wa kisasa wala kuweza kuajiri wataaalam.
Geologist anapewa 15% share kisheria kwanini asikupatie mawe kitaalam kwa kufuata miamba
Unachosema n kweli ila nachokuambia n kuwa msingi wa huo mradi lazima uendeshwe kwa mfumo wa ulozi, yaan mradi km huo uendeshwe kiholela unadhan hata faida utaiona au itazalisha? Wee acha zako, mie nmeshuhudia kwa macho yangu wala sitoi facts za kuokoteza. Huyo geologist lazima umuweke undertaker contol of, kwa maan awe anajua wee una hitaji nn na kwa wakati gan, na hyo bila ulozi kumchanganya hupati kitu,

pia lazima kuwe na kivutio ili hao geologist waje kwa wingi kufanya kazi hapo. Mambo haya n siri kwahiyo wee kuelewa itakua kazi ila nakuambia mradi wowote mkubwa lazima ulozi uhusike. Hivyo yaan
 
Unachosema n kweli ila nachokuambia n kuwa msingi wa huo mradi lazima uendeshwe kwa mfumo wa ulozi, yaan mradi km huo uendeshwe kiholela unadhan hata faida utaiona au itazalisha? Wee acha zako, mie nmeshuhudia kwa macho yangu wala sitoi facts za kuokoteza. Huyo geologist lazima umuweke undertaker contol of, kwa maan awe anajua wee una hitaji nn na kwa wakati gan, na hyo bila ulozi kumchanganya hupati kitu,

pia lazima kuwe na kivutio ili hao geologist waje kwa wingi kufanya kazi hapo. Mambo haya n siri kwahiyo wee kuelewa itakua kazi ila nakuambia mradi wowote mkubwa lazima ulozi uhusike. Hivyo yaan
Mimi nakuelewa. Hapa duniani huwezi kupata Mali nyingi bila ushirikina au maombi
 
Wanatumikishwa kulingana na mahitaji ya muhusika, wanakuwa vitega uchumi, mfano kuna mwingne msukule wake anauweka kutafuta na kuvuta hela (chuma ulete), mwingine anauweka ulinzi wa mali zake asifirisike (lighambu(, mwingine anauweka km kivutio cha watu ktk kazi zake (lomwele). Hivyoooh yaaan
Duh ingia jf ujifunze
 
Back
Top Bottom