Wangari Maathai
JF-Expert Member
- Aug 13, 2018
- 34,962
- 70,576
Alikua amejiandaa na yupo kwenye michakato kugombea ubunge UWT viti maalumu..RIP Shamsa
Ohh ccm tawi namba c
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Alikua amejiandaa na yupo kwenye michakato kugombea ubunge UWT viti maalumu..RIP Shamsa
hahahahahaaaaKuna watu walalamishi..khaa!!
R.i.p
Kwani alitangaza nia ya ubunge?Kila mtu anafiwa na hakuna mtu mwenye experience ya kufiwa.
But inapotokea mtu Fulani akawa anapatwa na misiba sana NI Jambo linalo fikirisha. Yafaa watu kuhoji kunani?
NI mipango ya Mungu au Kuna mikono ya watu?
Niliwahi kuandika hapa mbona ndugu yetu babu Tale anapatwa na misiba ya mara Kwa mara?
Isije ikawa NI maadui zake Wana mfanyia mambo ya kiswahili!!!
Anyways Babu Tale amefiwa na MKE wake.
MWENYEZI Mungu akutie nguvu Kaka na akupe subra katika kipindi hiki kigumu wewe pamoja ba watoto wako na amlaze Marehemu mahali pema peponi Amen
Masikini pooole eh.
Hadi huruma masikini tale.Huyu Dada amefariki Jamani?
Tale anapitia jaribu gumu sana pengine kuliko lolote lilowahi kumpata..
Ameachiwa watoto wadogo jamani..
Pumzika kwa Amani Shammy[emoji24][emoji24]
Sent using Jamii Forums mobile app