aka2030
JF-Expert Member
- Jan 5, 2013
- 2,657
- 3,679
Tale kutaka ubunge
Chanzo cha kifo chake ni nini?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chanzo cha kifo chake ni nini?
Kila mtu anafiwa na hakuna mtu mwenye experience ya kufiwa.
But inapotokea mtu Fulani akawa anapatwa na misiba sana NI Jambo linalo fikirisha. Yafaa watu kuhoji kunani?
NI mipango ya Mungu au Kuna mikono ya watu?
Niliwahi kuandika hapa mbona ndugu yetu babu Tale anapatwa na misiba ya mara Kwa mara?
Isije ikawa NI maadui zake Wana mfanyia mambo ya kiswahili!!!
Anyways Babu Tale amefiwa na MKE wake.
MWENYEZI Mungu akutie nguvu Kaka na akupe subra katika kipindi hiki kigumu wewe pamoja ba watoto wako na amlaze Marehemu mahali pema peponi Amen
Ndo inavyo semekana?Ubunge ubunge
Kweli?Tale kutaka ubunge
Habari zake tunazo. Haya babu Tale! Naona awamu ile iliwapitieni mbali ila kwa sasa imefyeka na itaendelea kufyeka hadi tuelewe kuwa kujikinga ni muhimu!
Alikiba ndio nani? mbona mnapenda kukuza mambo haters, kama kuna mtu wa kucompete na huyu bwana kwenye top 3 alikiba hawezi kuwepo tuomboleze msiba tu.Wekeni yutyubu mpate vyua mumkimbize Alikiba.
Poleni wafiwa.
Una matusi duh!Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamimu. Na ubunge hatopata fala huyu.
Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Mtu anashindwa kuelewa duniani tuna pita 2 ana ropoka kama ana kunyaTumuogope Mungu jamani, Mitandao isitufanye tukose utu.
Ndiyo nina utu,ndo maana nimeumia fala mmoja kutoa mkewe kafara kisa ubunge. Bora ukose mali ila usikose Hekima.Tumuogope Mungu jamani, Mitandao isitufanye tukose utu.
Ubunge umeleta balaa,ni pale mtaalam anakuambia utoe sadaka mtu unaempenda.Una matusi duh!
una uhakika?Ndiyo nina utu,ndo maana nimeumia fala mmoja kutoa mkewe kafara kisa ubunge. Bora ukose mali ila usikose Hekima.
Taarifa ni kifoUtatoaje taarifa ambayo huijui
Asilimia billion moja.una uhakika?