cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Mmmmmmh tangu lin huyu NCCR? wakati n CCM kindakindaki, lolYes nasikia alichukua fomu NCCR
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mmmmmmh tangu lin huyu NCCR? wakati n CCM kindakindaki, lolYes nasikia alichukua fomu NCCR
CCM na NCCR ni kitu kimoja.Wameungana nguvu ili kumshinda adui CDM.Mmmmmmh tangu lin huyu NCCR? wakati n CCM kindakindaki, lol
Mweeeeeeeeh makubwa uwiiiiiiiih, Mji mzito huuu khaaa.CCM na NCCR ni kitu kimoja.Wameungana nguvu ili kumshinda adui CDM.
Kwa nini?Logically kuna umuhimu wa chanzo cha kifo kuwa public ili kusaidia watu wengine kuwa salama pia.Kwa mfano kama katika nchi fulani watu wanakufa kwa Corona inapotangazwa kuwa watu wanakufa kwa Corona inasaidia sana watu kuongeza tahadhari na kuwa makini zaidi!Chanzo cha kifo sio lazima kuwa public
Mh, Mbona tuhuma nzito sana hizi!Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Ulisoma wapi??Mhh niliwah soma sehemu upande wa kina tale kunakuwa na vifo vya ajabu ajabu...rip dada
Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Siamini kama ww una akili kama hizi dah nilikuwa nakuheshimu...........haya yote mitihani husiombee ikukute RIP Shammy.Ndiyo nina utu,ndo maana nimeumia fala mmoja kutoa mkewe kafara kisa ubunge. Bora ukose mali ila usikose Hekima.
Inaonekana unayajua mengi kumuhusu yeye, kwani ni jirani/ndugu yako?Mimi ni mtumishi wa Mungu. Tale ndo anaendesha maisha yake kwa kutumia waganga.
Basi wameanza kupunguzana Kwa kompitishooAlikua amejiandaa na yupo kwenye michakato kugombea ubunge UWT viti maalumu..RIP Shamsa
Kifo hakichagui umri,siku ikifika hua hakuna breki.Halafu bado mbinti tu,,tatizo nini,au ajali?
I think you are not fine in your fore brain, why having a childish conclusion like this?Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Yule ni mshirikina balaa. Anaamini sana nguvu za gizani.Duh, hivi ni kweli jaman ni mshirikina au rumors tu? 😬
YesPole Tale, huyu mkewe si walikuwa wanakaa nae Mikocheni Warioba.
Dah! apumzike kwa amani nimeumia sana bora angekuwa yule mke wa said fella mama muuza mikorogo na mwenyewe ngozi kama kitimoto
Sacrifice or?Tale kutaka ubunge
Mean what mkuu?Habari zake tunazo. Haya babu Tale! Naona awamu ile iliwapitieni mbali ila kwa sasa imefyeka na itaendelea kufyeka hadi tuelewe kuwa kujikinga ni muhimu!