Benzodiazepine
JF-Expert Member
- Oct 18, 2018
- 644
- 718
Kwa hiyo na wewe ndugu zako waliokufa tuseme wewe ndo umewaua au sio??Tulia wewe! Tuambie ukweli ni upi! BabU tale ana utajiri wa mapaka ama la?!
Kuna uzi Mshana aliandika kuhusu haya mambo. Anasema mambo huwa yanaanza kwenye vitu vya kawaida sana, usije ukaenda kwa mganga ukaambiwa inatakiwa damu ya kuku ukaona kawaida...kuku tu. Dau linakuwa linapanda kadri unavyoendelea na ukishaingia huko kutoka si lelemamaUmeongea ukweli hapa ukiwa mtu wa kufanya shirki sana aiseeh inakua kama mla unga Kila siku unazidi
Na inaonekana ni MTU anayeamini sana katika shiriki.Unavyoongea with confidence sounds like wewe ndo mganga mwenyewe utakayemaliza hilo kafara! Yaani wewe likitokea jambo, lazima uhusishe na ushirikina, manake hata Darrasa alivyopata ajali, ulisema hivi:-
Utube zipo zipo siku nyingi, tafuta na nyuzi humu zimoalikiri wapi?
HEBU FIKIRIA UKO NA SIMANZI/MAJONZI KWA MISIBA INAKUANDAMA AFU UNASIKIA LIDOMO KAYA LIMOJA LINAROPOKA KUWA ETI WEWE "UMEUA NDUGUZO KISA MALI"Ndio mkuu siku yako kama imefika basi utafariki tu mi nina mfano ata kwangu tu ushatokea mwaka mmoja tena miezi miwili tofauti mwezi 11 nilimpoteza binamu yangu , mwezi 12 tena ilikuwa sikukuu nilipoteza mjomba wangu sisi tupo msibani wengine wapo kwenye Christmas,
Acha bwana.
Maaskofu huloga ili wapate vyeo vikubwaWeee huyo achana nae Hawezi kukuelewa, watu tunawajua hadi Askofu wa jimbo akawa n mchawi, na alikuwa na mradi wa madini, baada ya mambo yake kufukunyuliwa leo hii ni kichaa. Aaaaah atasema nn bhan.
Hao Maaskofu wa dini gani?Maaskofu huloga ili wapate vyeo vikubwa
Maneno hayo huwa mnatoa wapi? Na mimi siku nikiwa maarufu ntatupiwa mzigo wa maneno mengi sana! Yani watu wanataka wakujue sana kuliko wewe unavyojijua.Sitaki kuamini mpaka kwenye misiba napo kuna uteam,ila endelea kupayuka matatizo hayana tofauti na mbio za vijiti kuna mda itafika zamu yako ya kukipokea hiko kijiti,hii mitihani usipayuke mpaka ukajitoa ufahamu ukazani wewe hayato kupata.........RIP Shammy.
View attachment 1491928View attachment 1491929
Ndio mie namuelekeza huyo mtu, maana ana waamini hawa watu wa dini, khaaaaaah wakati wao kwa ulozi ndio penyewe, parokia yetu kule home kulikuwa na mapadri 2 huwez amin padri m1 alimroga mwenzie ukichaa, kweny watawa ndio kabisaa shughuri pevuuuh. KhaaaaahMaaskofu huloga ili wapate vyeo vikubwa
Ungemuuliza aliyeyaandika manake anavyojiona utafikiri hatofikwa na matatizo kama haya.Maneno hayo huwa mnatoa wapi? Na mimi siku nikiwa maarufu ntatupiwa mzigo wa maneno mengi sana! Yani watu wanataka wakujue sana kuliko wewe unavyojijua.
Tanzania hii asilimia kubwa wanaamini ushirikina imagine Hadi wauza maandaziNdio mie namuelekeza huyo mtu, maana ana waamini hawa watu wa dini, khaaaaaah wakati wao kwa ulozi ndio penyewe, parokia yetu kule home kulikuwa na mapadri 2 huwez amin padri m1 alimroga mwenzie ukichaa, kweny watawa ndio kabisaa shughuri pevuuuh. Khaaaaah
Dhehebu flani kubwa Hadi nilishangaa na kwa Africa Tanzania ni kinara kwa Mambo ya ushirikinaHao Maaskofu wa dini gani?
Tumpe nafasi amsitiri mkewe. Tuhifadhi kauli zetuHatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Hadi wauza sambusa na kachori, yote n kwamba uzalishwaji uwe mkubwa na biashara isife. AaaahTanzania hii asilimia kubwa wanaamini ushirikina imagine Hadi wauza maandazi
Hahaaa hafu wengi wanaloga hafu bidhaa zao hazina quality, poor customer service. Tuna safari ndefuHadi wauza sambusa na kachori, yote n kwamba uzalishwaji uwe mkubwa na biashara isife. Aaaah
Yaani we acha tyuuh, shida sana kwakweli. LolHahaaa hafu wengi wanaloga hafu bidhaa zao hazina quality, poor customer service. Tuna safari ndefu
Ebu nidokeze tu kidogo ata pm tuDhehebu flani kubwa Hadi nilishangaa na kwa Africa Tanzania ni kinara kwa Mambo ya ushirikina
Tulia mbwa ww husinifundishe utu makuzi ww..
Wewe i hope umeoa changudoaHahahah!! Mkuu, You have nailed it!! Kwa kweli kuoa mke kama huyo ni bora uoe changudoa angalau.