Akilinjema
JF-Expert Member
- Aug 9, 2016
- 11,430
- 11,813
Michepuko yako inakusumbua kiasi hicho ?
Dini za wakoloni zinaendesha maisha yako.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kipangaspecial unachekesha watu walioko msibani [emoji3][emoji3][emoji3]
Asikwambie mtu michepuko ni ubatili mtupu [emoji108][emoji108][emoji108]
Ni sawa na kujilisha upepo!
Maisha kwa mke mmoja wa ujanani hadi uzeeni inawekana kabisa kwa msaada wa Mungu!
Actually kuna watu wala hawana Mungu mioyoni mwao lakini dhambi ya uzinzi na uasherati haiwasumbui hata kidogo!
Tunahitaji ukombozi wa fikra!
Dini za wakoloni zinaendesha maisha yako.
Okay[emoji23][emoji23][emoji23]
Kama kuzifuata kunanipa faida nyingi zaidi kuliko hasara in both quantitatively and qualitatively basi wacha ziendeshe maisha yangu maana inanipa assurance ya sasa na baadae!
Imeandikwa:
“Aziniye na mwanamke hana akili kabisa , afanya jambo Litakalo jeruhi nafsi yake na litakalo dhuru nafsi yake!”
Yani mzinzi ni mtu mjinga hata kama ni msomi wa PhD
Yani mama kaomba watu wamlelee watoto wakeThanks mamy, duuh hii ni hatari, Tale amejichafua sana kwa kweli
Teh teh teh [emoji16]Victoire You have a wicked heart! Wanawake hatuko hivyo jamani, watu humu hawakwambii tu sijui wanaogopa utawaatack [emoji3] Acha hiyo roho wewe mwanamke!
You're right my Princess... hujakosea sana wala nini, coz' sometimes nakuwepo kama hivi but sometimes nikiingiza mitini inakuwa jumla! All in all, happy kwamba uko poa!Fresh kabisa my...umepotea
Kafara hizi kwa mafanikio ya MuzikiMhh niliwah soma sehemu upande wa kina tale kunakuwa na vifo vya ajabu ajabu...rip dada
kna wakati namna unavozungumza na kutenda watu hawaitaji kujua ukubwa wa elimu uliyonayo na maarifa pia..jitafakari mkuuWekeni yutyubu mpate vyua mumkimbize Alikiba.
Poleni wafiwa.
Depression hiyo nilipoona picha ilowekwa na Makonda nikajua moja kwa moja hakuwa yeye kuna ndugu yangu alipitia mapito hayohayoEti alikuwa kuna wakati anakuwa kama amechanganyikiwa kuropoka si kuropoka Yani kama maruweruwe fulani.
Inasemekana huenda ni mambo ya mikono ya watu.
Lakini sizani kama ni vema kumhukumu mume wake moja kwa moja, mtamfanya aumie zaidi ikiwa hajafanya hivyo!
Pengine alofanya ni mtu au watu wengine kabisa, huwezi jua pengine hata upande wa kwao kwa mama n.k.
Yule kaka kama hajahusika mtamliza mara mbili jamani!
Kama kuna watu wa karibu wataweza kueleza kiundani.
Nilikujibu km unaona nna mawazo au fikra mbaya, wee niache tyuuh deal na watu ambao unaona mnaendana mitazamo, sasa huku kuendelea kukinzana inaonekana wote tupo sawa, sorry kaka ts Jf, RelaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaxWenye mawazo ya ovyo kama yako wapo kila mahali , sishangai, ila natamani mpate mabadiliko.
Mimi huwa nina kawaida ya kusoma thread za jf, na kama iko funny huwa najikuta nacheka, nashangaa wanaonizunguka wananiambia niache ku chat, wakati muda huo sichat na mtu yoyote.
Hopeless people are everywhere.
Mmmmmmh hata hajaondoka na homa ya mapafu, yule kaondoka na gonjwa jingnee kabisaa, chin ya usaidizi wa Ulozi.Lakin bibie anaonekana kama kaugua muda mrefu
Maskin ,wanaosema corona angeruhusiwa kwenda kwa makonda
Ooooh kumbeeh hapo sawaaah dea.Akisafirishwa asipowekwa kwenye jeneza atahama atahama hapo nadhan hawajamzika na jeneza
Depression Ni mbaya na inaua haraka sana. Nimemkumbuka Amina Chifupa alivyokufa kwa depression. Sasa sijui Shammy wa watu depression ilitokana na Nini.Depression hiyo nilipoona picha ilowekwa na Makonda nikajua moja kwa moja hakuwa yeye kuna ndugu yangu alipitia mapito hayohayo
Yaan wanakera sana, hawajui huyu mtu ana Ulozi wa PhDWatu haamjui tuu..babu tale ni mganga wa kienyejj by profesion
Ana nini hadi watu wamuogope ?Victoire You have a wicked heart! Wanawake hatuko hivyo jamani, watu humu hawakwambii tu sijui wanaogopa utawaatack [emoji3] Acha hiyo roho wewe mwanamke!
Muwe na aibu mnavyotoa shutuma za uongo kwa watu msiowajua.Yaan wanakera sana, hawajui huyu mtu ana Ulozi wa PhD
Ndoa zina mambo mengi sana,alishamtuhumu mumewe kumtesa kwa kukosa uaminifu huwezi juaDepression Ni mbaya na inaua haraka sana. Nimemkumbuka Amina Chifupa alivyokufa kwa depression. Sasa sijui Shammy wa watu depression ilitokana na Nini.