TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

Michepuko yako inakusumbua kiasi hicho ?


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kipangaspecial unachekesha watu walioko msibani [emoji3][emoji3][emoji3]

Asikwambie mtu michepuko ni ubatili mtupu [emoji108][emoji108][emoji108]

Ni sawa na kujilisha upepo!

Maisha kwa mke mmoja wa ujanani hadi uzeeni inawekana kabisa kwa msaada wa Mungu!

Actually kuna watu wala hawana Mungu mioyoni mwao lakini dhambi ya uzinzi na uasherati haiwasumbui hata kidogo!

Tunahitaji ukombozi wa fikra!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Kipangaspecial unachekesha watu walioko msibani [emoji3][emoji3][emoji3]

Asikwambie mtu michepuko ni ubatili mtupu [emoji108][emoji108][emoji108]

Ni sawa na kujilisha upepo!

Maisha kwa mke mmoja wa ujanani hadi uzeeni inawekana kabisa kwa msaada wa Mungu!

Actually kuna watu wala hawana Mungu mioyoni mwao lakini dhambi ya uzinzi na uasherati haiwasumbui hata kidogo!

Tunahitaji ukombozi wa fikra!
Dini za wakoloni zinaendesha maisha yako.
 
Dini za wakoloni zinaendesha maisha yako.


[emoji23][emoji23][emoji23]

Kama kuzifuata kunanipa faida nyingi zaidi kuliko hasara in both quantitatively and qualitatively basi wacha ziendeshe maisha yangu maana inanipa assurance ya sasa na baadae!


Imeandikwa:

“Aziniye na mwanamke hana akili kabisa , afanya jambo Litakalo jeruhi nafsi yake na litakalo dhuru nafsi yake!”

Yani mzinzi ni mtu mjinga hata kama ni msomi wa PhD
 
[emoji23][emoji23][emoji23]

Kama kuzifuata kunanipa faida nyingi zaidi kuliko hasara in both quantitatively and qualitatively basi wacha ziendeshe maisha yangu maana inanipa assurance ya sasa na baadae!


Imeandikwa:

“Aziniye na mwanamke hana akili kabisa , afanya jambo Litakalo jeruhi nafsi yake na litakalo dhuru nafsi yake!”

Yani mzinzi ni mtu mjinga hata kama ni msomi wa PhD
Okay
 
Eti alikuwa kuna wakati anakuwa kama amechanganyikiwa kuropoka si kuropoka Yani kama maruweruwe fulani.

Inasemekana huenda ni mambo ya mikono ya watu.

Lakini sizani kama ni vema kumhukumu mume wake moja kwa moja, mtamfanya aumie zaidi ikiwa hajafanya hivyo!

Pengine alofanya ni mtu au watu wengine kabisa, huwezi jua pengine hata upande wa kwao kwa mama n.k.

Yule kaka kama hajahusika mtamliza mara mbili jamani!

Kama kuna watu wa karibu wataweza kueleza kiundani.
Depression hiyo nilipoona picha ilowekwa na Makonda nikajua moja kwa moja hakuwa yeye kuna ndugu yangu alipitia mapito hayohayo
 
Wenye mawazo ya ovyo kama yako wapo kila mahali , sishangai, ila natamani mpate mabadiliko.


Mimi huwa nina kawaida ya kusoma thread za jf, na kama iko funny huwa najikuta nacheka, nashangaa wanaonizunguka wananiambia niache ku chat, wakati muda huo sichat na mtu yoyote.

Hopeless people are everywhere.
Nilikujibu km unaona nna mawazo au fikra mbaya, wee niache tyuuh deal na watu ambao unaona mnaendana mitazamo, sasa huku kuendelea kukinzana inaonekana wote tupo sawa, sorry kaka ts Jf, Relaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaax
 
Depression hiyo nilipoona picha ilowekwa na Makonda nikajua moja kwa moja hakuwa yeye kuna ndugu yangu alipitia mapito hayohayo
Depression Ni mbaya na inaua haraka sana. Nimemkumbuka Amina Chifupa alivyokufa kwa depression. Sasa sijui Shammy wa watu depression ilitokana na Nini.
 
Depression Ni mbaya na inaua haraka sana. Nimemkumbuka Amina Chifupa alivyokufa kwa depression. Sasa sijui Shammy wa watu depression ilitokana na Nini.
Ndoa zina mambo mengi sana,alishamtuhumu mumewe kumtesa kwa kukosa uaminifu huwezi jua
 
Back
Top Bottom