Savimbi Jr
JF-Expert Member
- Sep 23, 2011
- 6,818
- 9,183
Tale Tale Aiseeee NDAGU sio nzuri utamaliza ndugu zako kama "STANIJE MAGAHAMU".
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda na wewe kauwe mama yakonau mkeo tuone km mambo yatakuwa powaChezea kafara weyeeeeeeeeeeh, mambo yametick.
Huyo atahamia kwa watoto sasa, mwanamke ungejua waenda waolewa kwa washirikina ungebadili gear anganiSasa we unawajua sana wale?
Alikufa Mwanahawa na Ali Zungu (Ali Taletale) walifuatana sana kiasi mpaka Madee akatunga wimbo wa Kazi yake Mola na ndani akayataja majina hayo. Huyu mwanahawa aliacha mtoto mdogo sana Ibra Modo nadhani sasa hivi atakuwa mkubwa sana. Kasikilize kazi yake Mola ya Madee kuna sehemu anaimba "Ibrah modo anauliza, mjomba Idd kwani mama yupo wapi? nanibidi kudanganya huku sitaki" Idd kwa sasa yuko Sweden.
Baadae akafa Zai, Zai alikua dada yake na Idd kwa uzazi. Alienda kuzikwa Moro pia. Miaka kadhaa imepita. Akaja Abdu Bonge na sasa mke wa Babu Tale.
Mi siamini chochote naona ni vifo tu natural.
Sina shida na ubunge mie, wee vepeeeh bhana khaaah?Nenda na wewe kauwe mama yakonau mkeo tuone km mambo yatakuwa powa
Dea umeona huko shammy kashaanza utekelezaji wa majukumu aliyopewa. Maskiniiiiih lolHuyo atahamia kwa watoto sasa, mwanamke ungejua waenda waolewa kwa washirikina ungebadili gear angani
Mmmmh ,aseeKwenye msiba marehemu alipigwa " chain" wakati WA kuagwa Yani kuagwa Kwa kuzungukwa. Hii ni ishara kubwa na nzito Sana katika Uchawi. Maana yake ni kwamba hiyo chain ya kafara is unbreakable
Tarajieni kusikia mengi
hebu fafanua vizuri mkuu hii inafanywaje?Kwenye msiba marehemu alipigwa " chain" wakati WA kuagwa Yani kuagwa Kwa kuzungukwa. Hii ni ishara kubwa na nzito Sana katika Uchawi. Maana yake ni kwamba hiyo chain ya kafara is unbreakable
Tarajieni kusikia mengi
Mambo mazito hayo chief si ya kuweka wazi Mtandaonihebu fafanua vizuri mkuu hii inafanywaje?
Nimesikitika Sana Kuna mtu alikuwaga na mafanikio ya hivo kateketeza ndugu na kuwapoteza siku Mambo yalivo buma alifilisika mpaka leo.Dea umeona huko shammy kashaanza utekelezaji wa majukumu aliyopewa. Maskiniiiiih lol
Kupigwa chain kiaje na waliomuaga walijua kuwa Hilo ni kafara au?Kwenye msiba marehemu alipigwa " chain" wakati WA kuagwa Yani kuagwa Kwa kuzungukwa. Hii ni ishara kubwa na nzito Sana katika Uchawi. Maana yake ni kwamba hiyo chain ya kafara is unbreakable
Tarajieni kusikia mengi
Weka watu tujue a, b, c, dMambo mazito hayo chief si ya kuweka wazi Mtandaoni
Kupigwa chain kiaje na waliomuaga walijua kuwa Hilo ni kafara au?
Na kwanini hyo chain ni ubreakable
I'm curious tu kufahamu Mambo mengi mapya, Mimi ushirikina siuogopi kabisa huwa nashangaa waja wanaotumia hayo Mambo.Mambo mengine yatakuzonga na kujitia hofu tu rafiki, mtumainie Mungu na hakikisha haujiingizi kwenye mambo ya giza.
I'm curious tu kufahamu Mambo mengi mapya, Mimi ushirikina siuogopi kabisa huwa nashangaa waja wanaotumia hayo Mambo.
Tunaojua tunasema hi hi hi hi, acha tyuuuh mkuu Dunia in a mengiMambo mazito hayo chief si ya kuweka wazi Mtandaoni
Ndio mara nyingi mwisho huwa hivyooohNimesikitika Sana Kuna mtu alikuwaga na mafanikio ya hivo kateketeza ndugu na kuwapoteza siku Mambo yalivo buma alifilisika mpaka leo.