Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Unaelewa kuwa chanzo cha kifo kutangazwa huwa inasaidia watu wengine kuwa salama pia?.Unaelewa kuwa Kwa mfano kama katika nchi fulani watu wanakufa kwa Corona, inapotangazwa kuwa watu wanakufa kwa Corona inasaidia sana watu kuongeza tahadhari na kuwa makini zaidi?Unataka ujue chanzo cha kifo chake ili iweje?
Wewe jua kafa.
Mkuu n ilikuwa nasubiria utie neno juu ya hizi tuhuma za TaleAmeondoka na uzuri wake.. Gone too soon
Sio kweliKwa nini?Logically kuna umuhimu wa chanzo cha kifo kuwa public ili kusaidia watu wengine kuwa salama pia.Kwa mfano kama katika nchi fulani watu wanakufa kwa Corona inapotangazwa kuwa watu wanakufa kwa Corona inasaidia sana watu kuongeza tahadhari na kuwa makini zaidi!
unauliza makofi polisi,unamkumbuka yule bibi mweupe kwenye nenda kamuambie?huyo domo siyo yeye hata mbele huko entertainment industry ni shida sana kaka,matajiri na wenye mafanikio ni mmoja katika laki moja aliye clean kuna clips zake huwagaanatingisha kichwa kama ana maruhani hivi,nitafungulia thread niweke na clips na za lil wayne ni the same kama vile kwa nukta kadhaa wanapoteza network halafu inarudimzee una uhakika dayamondi alimtoa bibi ake kafara?
Huyu wangapi kifariki?Mhh niliwah soma sehemu upande wa kina tale kunakuwa na vifo vya ajabu ajabu...rip dada
fanya hivyo aiseeunauliza makofi polisi,unamkumbuka yule bibi mweupe kwenye nenda kamuambie?huyo domo siyo yeye hata mbele huko entertainment industry ni shida sana kaka,matajiri na wenye mafanikio ni mmoja katika laki moja aliye clean kuna clips zake huwagaanatingisha kichwa kama ana maruhani hivi,nitafungulia thread niweke na clips na za lil wayne ni the same kama vile kwa nukta kadhaa wanapoteza network halafu inarudi
Mbagalaaqnaomba niandike kitu kwa herufi kubwa yaani msisitizo. JAMANI HAPA NAAMINI KABISA HUYU JAMAA KAHUSIKA KAMA KAFARA,MNASHANGAA HILI MNGESHANGAA LA MWAMPOSA KUTOA KAFARA LA WATU 20 KULE MOSHI..MWAKA FULANI NILIKAA SEHEMU NA MSHIKAJI WANGU TUNAPIGA STORY NA MENEJA FULANI WA MZIKI MJANJAMJANJA ALIYEKUWA WA KWANZA KUMTOA MSANII NAMBA MOJA WA BONGO FLEVA KATIKA STORY JAMAA ALIKUWA ANASIKITIKA SANA JUU YA MWANADADA MDANGAJI KIPINDI HICHO ALIYEANZIA KWENYE MOVIE KWA SASA ANAJULIKAN KAMA MIMBAJI INGAWA AAFAKE FAKE TU MZIKI WENYEWE PIA ANAJULIKANA KWA UJASIRIAMALI WA KUPIKA MISOSI,MENEJA HUO ALIMPELEKA MWANADADA HUKO NDANINDANI KWA MGANGA MAARUFU ALIYEMUAMBIA AMTOE BINTI YAKE KAMA KAFARA NA DADA ALIKUBALI KWA MOYO MMOJA HUYU BWANA MENEJA AKAMUAMBIA MGANGA TUTARUDI,WALIVYOONDOKA AKAMUAMBIA MWANADADA SIHUSIKI KWENYE HILI DEAL,BINTI BADO YUPO HAI SIJUI BADAYE ALIMTOA NANI KAFARA MAANA MAMBO YAKE KWENYE MISOSI SIYO MABAYA
NIWAKUMBUSHE PIA MBONGO FLEVA NAMBA MOJA NA KISA CHA BIBI YAKE WANAOJUA HIYO STORY SIYO SIRI BIBI ALIDANJISHWA YUKO KWENYE VIDEO YAKE YA KWANZA ILIYOMTOA
Mwampamba alikuwa hajui kwamba KisaCharawE ni Mali ya MTU FURANI.?Alitaka kumla disii akasahau kuna ambavyo haviliwi. Ndiyo maana leo mzee alikuwa full kanuna
Hebu andika tu sasa hiviunauliza makofi polisi,unamkumbuka yule bibi mweupe kwenye nenda kamuambie?huyo domo siyo yeye hata mbele huko entertainment industry ni shida sana kaka,matajiri na wenye mafanikio ni mmoja katika laki moja aliye clean kuna clips zake huwagaanatingisha kichwa kama ana maruhani hivi,nitafungulia thread niweke na clips na za lil wayne ni the same kama vile kwa nukta kadhaa wanapoteza network halafu inarudi
Unaelewa kuwa chanzo cha kifo kutangazwa huwa inasaidia watu wengine kuwa salama pia?.Unaelewa kuwa Kwa mfano kama katika nchi fulani watu wanakufa kwa Corona, inapotangazwa kuwa watu wanakufa kwa Corona inasaidia sana watu kuongeza tahadhari na kuwa makini zaidi?
una uhakika?
Una uhakika na ulichoandika?Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
kuna kazi naweka sawa nilainishe vyuma hapa ila nitafanya hivyo kama siyo leo ni keshoHebu andika tu sasa hivi
Sacrifice or?
Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Weee unajidanganya sana, khaaaaah watu wanatoa hadi ndugu wa wake zao na wanafanikiwa kupata hela. Acha kabisa damu ya binadamu.Ingekua kupata pesa unamtoa mke basi tungekua tumefanya hayo kitambo,ushirikina wa damu inahusu damu yako ya kuzaa sio mke hata siku moja...angalia watu wote wenye pesa za ulonzi utaona kazika watoto na ndgu wakutosha ila sio mke
unauliza makofi polisi,unamkumbuka yule bibi mweupe kwenye nenda kamuambie?huyo domo siyo yeye hata mbele huko entertainment industry ni shida sana kaka,matajiri na wenye mafanikio ni mmoja katika laki moja aliye clean kuna clips zake huwagaanatingisha kichwa kama ana maruhani hivi,nitafungulia thread niweke na clips na za lil wayne ni the same kama vile kwa nukta kadhaa wanapoteza network halafu inarudi