TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

TANZIA Shamsa Tale, mke wa Meneja wa Diamond Platnumz (Babu Tale) afariki dunia

Hivi sikuhizi Hadi vilaza wanakimbilia ubunge eeeh, bunge litavamiwa aisee, Kama kamtoa huyo shammy sadaka naomba Mungu aukose huo ubunge, hafu Hawa kina babu tale na wcb sihujifanya Mambo Safi, au mziki hauna hela?
WCB ni washirikina tu wote sema Kiba hapendi kujionyesha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ila dea jaman tuache unafiki wee angalia reaction ya tale kweny huu msiba, yaan hata haoneshi kuguswa mda wote anazurura tu,
kaniacha hoi hapo wakati kutaka safari ya kuelekea Moro ianze, yeye anazurura barabaran huku akitafuta pikipiki yenye king'ora ianze kutangulia, aaaaaah

Ripota kutoka msibani [emoji3]
 
Thanks dear
Hii hapa.
Screenshot_20200629-171703_1593440262017.jpg
 
Hii inanipa picha utu sasa umekwisha ,pesa imefunika utu wetu na udugu wetu... Niliona kwa diamond katika sakata la kifo cha Ruge.... Sasa Leo Millard ayo kapotezea kabisa juu ya msiba Wa mke Wa babu tale.... Jamani just advice to you people....pesa zitabaki duniani daima....Bali kila nafsi kuonja mauti.... Jaribu kuliweka file lako la duniani vizuri... Chuki,fitina ,visasi,majigambo havijengi.... Kumbukeni yupo mwenye kutupa uzima na hii hafya ....kesho akichukua pumzi yake sisi ni takataka ,akichukua hafya yake nakwambia marafiki wote watakukimbia....hata wakukupa panadol utamkosa....... People are good when you are good......
ml
Kwenye msiba wa Ruge Nakumbuka Tale Salam na Diamond walitoa post za vicheko na kebehi as if walifurahia Hilo tukio. Sasa leo Tale kaonja uchungu wa kufiwa. Hata Kama unamchukia mtu usifurahie kifo chake. Leo Salam kakataa mkono wa Harmonize Ni chuki gani hiyo.
 
Ripota kutoka msibani [emoji3]
Lazima ukiwa msibani kuna vitu vingine unaangalia kama vipo sawa na unaonesha utaratibu upoje, siyo umekaa na kwa dar wahuni wanabeba gari inapitishiwa kwa juu ukutani
 
Wee hujui chochote kaa kimya tyuuh, kwan unataka wote tuwe na mtazamo sawa? Amini unavoona kwako n sawa, na pia me vilevile, aaaaah yaan msiba wa mke uwe bizze na kuchat khaaaah damon lol.
Yaan yetu macho tyuuh, na asipopata ubunge atatumia kwa namna nyingne maan fursa yeye si anazo nyingi.
Kufiwa na mtu wa karibu nimewahi, na hali yake naijua, ila tale hapan haoneshi hata km yeye n mfiwa, jaman akili kuruka ndio vile khaaaah, si atulie utaratibu unaendeshwa km ilivyopangwa. Jana imetumwa clip mtandaon yupo bize na cm tyuuh. Khaaah hadi watu wakawa wanahoji.
Ila dea jaman tuache unafiki wee angalia reaction ya tale kweny huu msiba, yaan hata haoneshi kuguswa mda wote anazurura tu,
kaniacha hoi hapo wakati kutaka safari ya kuelekea Moro ianze, yeye anazurura barabaran huku akitafuta pikipiki yenye king'ora ianze kutangulia, aaaaaah
Mkuu, punguza, punguza. kua na wasiwasi sio vibaya, ila kushudia jambo ambalo hujaliona ni vibaya sana, mimi nimemuona Tale anashusha kilio haswa , tena sio kile cha kiume cha kulia kimya kimya hata jirani yako uliekaa nae hasikii labda ashtukie chozi , nimeona anapiga ukunga haswa,

kua na wasiwasi it's fine..ila hayo mengine si sawa
 
Back
Top Bottom