cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwani wee posts za wahusika kweny page zao huoni? Khaaaaah weee vepeeeeeh? Hebu niache bhana npo kweny majonzi ya kumpoteza shammy. [emoji30][emoji30]Wewe ulikuwepo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wee posts za wahusika kweny page zao huoni? Khaaaaah weee vepeeeeeh? Hebu niache bhana npo kweny majonzi ya kumpoteza shammy. [emoji30][emoji30]Wewe ulikuwepo?
Ngoja Nika screenshot huko niwekeZiwekeni hapa nasisi tuone wapendwa
Warumi ubuyu wako nauamini hebu funguka basiChezeya mashart weye
Jeneza huwa haliwekwi chini bana au ndo Mila zao[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji16][emoji16][emoji16]jamani nyie
Thanks dearNgoja Nika screenshot huko niweke
[emoji849][emoji849][emoji849][emoji849]Hatimae Tale kaamua kumtoa kafara mkewe kisa Ubunge,R.I.P Shamsa. Na ubunge hatopata fala huyu.
Kwa imani ya dini zao hata hilo jeneza halikupaswa kutumika.Jeneza huwa haliwekwi chini bana au ndo Mila zao
WCB ni washirikina tu wote sema Kiba hapendi kujionyeshaHivi sikuhizi Hadi vilaza wanakimbilia ubunge eeeh, bunge litavamiwa aisee, Kama kamtoa huyo shammy sadaka naomba Mungu aukose huo ubunge, hafu Hawa kina babu tale na wcb sihujifanya Mambo Safi, au mziki hauna hela?
Ila dea jaman tuache unafiki wee angalia reaction ya tale kweny huu msiba, yaan hata haoneshi kuguswa mda wote anazurura tu,
kaniacha hoi hapo wakati kutaka safari ya kuelekea Moro ianze, yeye anazurura barabaran huku akitafuta pikipiki yenye king'ora ianze kutangulia, aaaaaah
Kumbe sikujua hiloKwa imani ya dini zao hata hilo jeneza halikupaswa kutumika.
[emoji23][emoji23][emoji23] dah kazi ipo kiba anaachaje ushirikina na katoka kigoma mwisho wa reli yule
Hii hapa.Thanks dear
Dah!...Sio vilio vyote ni vya uchungu, vingine ni vya furaha baada ya kumaliza kazi iliyokua inamuumiza kichwa mda mrefu
mlHii inanipa picha utu sasa umekwisha ,pesa imefunika utu wetu na udugu wetu... Niliona kwa diamond katika sakata la kifo cha Ruge.... Sasa Leo Millard ayo kapotezea kabisa juu ya msiba Wa mke Wa babu tale.... Jamani just advice to you people....pesa zitabaki duniani daima....Bali kila nafsi kuonja mauti.... Jaribu kuliweka file lako la duniani vizuri... Chuki,fitina ,visasi,majigambo havijengi.... Kumbukeni yupo mwenye kutupa uzima na hii hafya ....kesho akichukua pumzi yake sisi ni takataka ,akichukua hafya yake nakwambia marafiki wote watakukimbia....hata wakukupa panadol utamkosa....... People are good when you are good......
Lazima ukiwa msibani kuna vitu vingine unaangalia kama vipo sawa na unaonesha utaratibu upoje, siyo umekaa na kwa dar wahuni wanabeba gari inapitishiwa kwa juu ukutaniRipota kutoka msibani [emoji3]
Tupe habari Warumi mpendwa dada aneshapumzishwa tayari. Eheeee!Sitaki umbea Jaman uwii , ebu Ngoja nikae vzur warumi Mie , mdomo koma Jaman , Sijui tuvumilie had shoga kidawa azikwe maana umbea huu mmh
Haswaaaaah data muhimu uwiiiiiiiiiiih, [emoji2][emoji2]Ripota kutoka msibani [emoji3]
Wee hujui chochote kaa kimya tyuuh, kwan unataka wote tuwe na mtazamo sawa? Amini unavoona kwako n sawa, na pia me vilevile, aaaaah yaan msiba wa mke uwe bizze na kuchat khaaaah damon lol.
Yaan yetu macho tyuuh, na asipopata ubunge atatumia kwa namna nyingne maan fursa yeye si anazo nyingi.
Kufiwa na mtu wa karibu nimewahi, na hali yake naijua, ila tale hapan haoneshi hata km yeye n mfiwa, jaman akili kuruka ndio vile khaaaah, si atulie utaratibu unaendeshwa km ilivyopangwa. Jana imetumwa clip mtandaon yupo bize na cm tyuuh. Khaaah hadi watu wakawa wanahoji.
Mkuu, punguza, punguza. kua na wasiwasi sio vibaya, ila kushudia jambo ambalo hujaliona ni vibaya sana, mimi nimemuona Tale anashusha kilio haswa , tena sio kile cha kiume cha kulia kimya kimya hata jirani yako uliekaa nae hasikii labda ashtukie chozi , nimeona anapiga ukunga haswa,Ila dea jaman tuache unafiki wee angalia reaction ya tale kweny huu msiba, yaan hata haoneshi kuguswa mda wote anazurura tu,
kaniacha hoi hapo wakati kutaka safari ya kuelekea Moro ianze, yeye anazurura barabaran huku akitafuta pikipiki yenye king'ora ianze kutangulia, aaaaaah
Ndo hvyoKumbe sikujua hilo
Bora na wewe mkuu wa oparation TISS umeliona.. wengine anatuchefu sana roho na shombo zakeVictoire upo sawa kweli
Na observe sana comments zako nowadays naona hauko sawa
sure sure kabisa mkuu
ongea kama kuna shida tutakusaidia