Tatzo kuna masuala watachakachua ili impendeze Maza kinyume na matakwa ya wananchiTena haraka sana maana wanatumia kodi tulizolipa , zoezi hili linatakiwa kuwa live mubasgara TBC na vituo vingine vya televisheni vya binafsi pia online tujue zoezi hili muonendo wake ni kwa manufaa ya wananchi wote au ni kwa ajili ya kakikundi cha watu wachache wa chama fulani na siyo kwa manufaa ya taifa letu na raia wote bila kujali vyama vya siasa.
Nendeni mkajadkliane, mkisha kubaliana mtuletee na SISI tuyaangalie tuone kama yanafaa. (in voice of chief Hangaya) HAKUNA KITU HAPOMwanadada mpigania haki za binadamu na demokrasia nchini, amefika mbele ya kikozi kazi cha mheshimiwa rais kwa ajili ya kutoa maoni yake namna gani ya kupata tume huru ya uchaguzi, namna gani kufanya siasa safi nchini na katiba mpya.
View attachment 2223143
Huyo bibi wa pembeni anavyomkata jicho la husda atakua mchawi tu kama huyo wa pembeni yake.Mwanadada mpigania haki za binadamu na demokrasia nchini, amefika mbele ya kikozi kazi cha mheshimiwa rais kwa ajili ya kutoa maoni yake namna gani ya kupata tume huru ya uchaguzi, namna gani kufanya siasa safi nchini na katiba mpya.
View attachment 2223143
👆Haya yote si yalishafanyika kipindi kile cha Warioba?
WTF!!!
Mwangalie alivyokaa kichawi hapokuna mtu hapo kaahidiwa kazi kwenye kikosi kazi kwa miaka 9 hadi 2030 ila 2025 anautaka U Rais...maajabu sana
Kamisheni ya Haki za Binaadamu ya UN yatua nchini; hiki ndio wanachofanya kufuatilia ahadi ilizotoa Tanzania, pia serikali yabanwa na UN kuwa iwe wazi waTanzania wafahamu serikali yao iliridhia nini ktk masuala 252 iliyosaini na kuikubali kwa niaba ya wananchi
Delaying tactics.CCM is buying time so that they continue to have more cake.It's very unfortunate for Tanzanians.Haya yote si yalishafanyika kipindi kile cha Warioba?
WTF!!!
Delaying tactics.CCM is buying time so that they continue to have more cake.It's very unfortunate for Tanzanians.
Ushasema hayana akili unategemea yatajihoji hizo pesa za umma wanazochezea?
Wanachokifanya Zitto na Fatma Karume ni kitu kisicho na mantikiNilikuwa nategemea kitu kama hiki kutokana na ukimya wake wa hivi karibuni. Kwenye misimamo Maria amemshinda kwa mbali.
Amandla...
Hii yote ni circus. Hiyo per diem yao bora tungejengea kiwanda cha mboleaMwanadada mpigania haki za binadamu na demokrasia nchini, amefika mbele ya kikozi kazi cha mheshimiwa rais kwa ajili ya kutoa maoni yake namna gani ya kupata tume huru ya uchaguzi, namna gani kufanya siasa safi nchini na katiba mpya.
View attachment 2223143
Wanachokifanya Zitto na Fatma Karume ni kitu kisicho na mantiki
Niweke wazi, kwenda kutoa maoni, aina ya maoni ni haki yao na isihojiwe na mtu yoyote
Tatizo ni hili, walitakiwa wajiulize;
Maoni ya Wananchi kupitia tume ya Mzee Warioba yanamatatizo gani?
Kikosi kazi kimeundwa kwa utaratibu gani wa katiba?
Tatu, nani anahakiki maoni yanayotolewa yapo kwenye rekodi?
Kikosi kazi kilisema katiba isubiri.2025. kwa Mujibu wa Prof Lipumba aliyekuwa ndani kama Zitto hayakujadiliwa.
Mwisho wa siku 'uzushi' ukaingizwa katika ripoti na kujenga uhalali, vyama vimesema hadi 2025
Zitto anajua huu ni uharamia kwasababu hakuweza kudhibiti wala kukemea uongo huo.
Fatma anakwenda kujenga uhalali akijua maoni yake hayawezi kuwekwa katika mizani sawa na maoni yaliyotengenezwa tayari yanayotafutiwa majibu
Mwisho Fatma atajikuta analalama kama ambavyo Lipumba analalama lakini bila kufanya lolote
Kuwemo katika kikosi kazi au kutoa maoni katika kikosi kazi ni kujenga ''legitimacy' ya kikozi kazi ambayo ni utapeli tu wakati huo huo waki deligitimize maoni ya Wananchi kupitia Warioba
Nitashangaa sana nitakapomsikia Fatma akizungumzia tena Katiba! yeye keshaungana na wasiotaka kwa kuwajengea uhalali na uwezo wa kuendelea. Fatma , Zitto katika boti moja
Jiulize kwanini Msajili anatoa hiyo picha! kuna hoja hapo itakayotumiwa na Fatma ni sehemu yake
JokaKuu Tindo