Jakaya alipigiwa na Watanzania wa Imani zote.Iko wazi,hasa kwenye uchaguzi wa 2010,udini ulikua wazi, waislam wakahamasishana kwa sms tu kumpigia jakaya,watu Chali..maana Hadi pengo alikua chadema live
Jambazi alieokoka ambae anajifanya nabii ni shida sana aise.
Na hakuna mahali anaenda kaisha likoroga mwenyewe
nimepanda kamanda Salumu Mwalimu akihitubia angalau kuna ustaarabu kwenye uwasilishaji hoja zake...🐒Aa!!! Wapi huzo ni chuki zenu dhidi ya Nabii Lema.
Sawa,Ila waislam wapinzani waliacha upinzani wakampigia jakayaJakaya alipigiwa na Watanzania wa Imani zote.
Hebu tuachie Nabii wetu.nimepanda kamanda Salumu Mwalimu akihitubia angalau kuna ustaarabu kwenye uwasilishaji hoja zake...🐒
Hata hivyo anafanya mistakes na errors nyingi mno ambazo akiwa corrected na kuwa shapped vizuri na political doctorz, politically speaking anaweza kua miongoni mwa wanasiasa mahiri na makini sana siku za usoni 🐒
Lakini Nabii Jambazi ni shida mwanzo mwisho
majiz ccm na maviongoz yake majambaz wakubwa wana jema gan kwa taifa hli na watz? Hata kuwapa maji tu watz wameshndwa.Hawana jema ndugu zetu.
Hakuna huo Ushahidi.Sawa,Ila waislam wapinzani waliacha upinzani wakampigia jakaya
Unajua nyie Chadema mnamuona MMM kama nani wenu huko Chadema?Fatma K Hana akili hata kidogo! Maoni binafsi ya Martin Maranja Masese kaya address kama ya CDM! Huu ni uzwazwa wa Hali ya juu! Fatma K anachochea UDINI.
hapana, hapana no hiyo haiwezekani..Hebu tuachie Nabii wetu.
nimepanda kamanda Salumu Mwalimu akihitubia angalau kuna ustaarabu kwenye uwasilishaji hoja zake...
hakuna tuhuma nzito hapo ni ukweli kabisa chadema wanahubiri udini sana....Shangazi Fatuma Karume itabidi tumuulize ili tupate ufafanuzi wa KINA kwenye hizi TUHUMA kwa maana ni NZITO.
uvivu unachochea muhemkomajiz ccm na maviongoz yake majambaz wakubwa wana jema gan kwa taifa hli na watz? Hata kuwapa maji tu watz wameshndwa.
💯 🤝👍CHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.
Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
Teuzi bado hazijakufikia? Yote uliyoyaeleza ni ya CCMCHADEMA hawawezi kupata kura za kundi lolote lile katika jamii lenye akili Timamu na linalojitambua.kwa sababu CHADEMA ni genge na mkusanyiko wa watu wasio na busara wala hekima wala adabu. Ni watu wanaofanya vitu kama vipofu na ndio maana chama kimekosa nuru na muelekeo kwa kuwa kinaongozwa na vipofu ambao akili zao zinawaza madaraka na vyeo tu. CHADEMA wapo tayari kushirikiana hata na shetani ilimradi wapate madaraka. CHADEMA wapo tayari kulipasua Taifa kwa Udini ,ukabila ,ukanda na hata kuchochea machafuko hapa nchini ilimradi wao wapate madaraka na vyeo.
Watanzania tunapaswa kuwapuuza CHADEMA na kuwakemea kabla hawajaharibu Taifa letu. Tuwakatae kwa nguvu zetu zote .kamwe tusiwaunge mkono kwa lolote lile .tuwaogope CHADEMA kama ukoma maana hawana dhamira njema na Taifa letu.
Nadhani anamjibu Lema aliyeropoka huko Arusha 😂🔥