Bank gani ?Mimi napata 250,000 kwa mwezi. Mwanzoni nilikuwa natumia kwanza afu ikibak ndo nasave unakuta mda mwngne hamna hela ya maana uliyosave. Nikabadilisha njia. Nikawa nikipata tu hela naweka 100,000 kamili bank alaf hyo 150 inayobak ndo nafanya matumizi. Namshukuru MUNGU na kipato changu kidg nimekaa mwaka na zaidi sasa nina akiba ya 1.2m
Hyo ndo njia ninayoitumia na sitoiacha. Naombea niongeze kipato ili kuongeza akiba yangu.
Mpaka leo wanatoa kweli mkuu?Kulikuwa na kibubu kinatilewa na NMB miaka ya nyuma.
naomba ufafanuzi kidogo kuhusu hili mkuu kama hutojali unafanyaje fanyaje nielekeze vizuriPia change us dola kaa nazo ikipanda change unaweza pata Mara mbili yake na nusu
Tupe maelezo kidogo mkuu kuhusu hii njia pengine inaweza kufaa!Pia change us dola kaa nazo ikipanda change unaweza pata Mara mbili yake na nusu
Charges ni za kawaida naweka equity bank.Bank gani ?
Hawakati kati kila mwezi charges zisizoeleweka ?
Hiyo dhahabu unanunulia wapi na unaitunza wapi.?Nunua dhahabu kila unapojiwekea kiasi maana mpaka kuwaza kuuza hiyo dhahabu utajiuliza maswali mengi sana
Unasave benki gani..makato yao vipi.?Mimi na trace matumizi yangu na ninachoingiza kwa kutumia app ya monefy ambayo ipo playstore. Hii app inakufanya ujue kiasi ulichotumia kwenye chakula, malazi, gari, starehe n.k kila baada ya mwezi.
Kisha natunza bank kwenye akaunti ya saving kile kiasi nilichopanga. Hii ni hatua ya pili ya kusevu.
Mwisho Nasevu hicho kiasi kwenye kununua kiwanja, kufanya ujenzi wa jengo, kununua shamba, kupanda miti kwenye shamba n.k
Halafu ole wake mtu aje na sera zake za kimasikini miaka 3 ijayo ntakapokuwa naenda likizo ulaya na familia yangu.
Sina uhakika mkuu kama bado wanaendelea kutoa hivyo vibubu! Ilikuwa unapewa kamefungwa kabisa ufunguo unauacha huko huko benki muda wa kukifungua ukifika unaenda nacho benki kinafunguliwa unachukua mpunga wako!!Mpaka leo wanatoa kweli mkuu?
😀😀😀😀😀Halafu ole wake mtu aje na sera zake za kimasikini miaka 3 ijayo ntakapokuwa naenda likizo ulaya na familia yangu.
ahahahahh mkuu uko vizuri sana mkuu ..hahhha😀😀😀😀😀
Kawaida kiongozi...kuna jamaa anaumia kuona watu wanaenda na familia zao ulaya kula likizo haahaaaahahahahh mkuu uko vizuri sana mkuu ..hahhha
aha sasa akiba si itaishia huko mkuu....Kawaida kiongozi...kuna jamaa anaumia kuona watu wanaenda na familia zao ulaya kula likizo haahaaa
Mimi nanunua dhahabu kwa sonara na kuihifadhi na zingine wife na watoto wanazivaa wakihitajiHiyo dhahabu unanunulia wapi na unaitunza wapi.?
inanishinda kuweka akiba mara nyingi
kwa mfanya biashara au mjasiriamali hawezi weka pesa benki miaka mitano bila kutoa, huko ni kukosa akili ya fedha. Pesa inatakiwa izalishwe, hiyo hesabu uliyopiga ww kwa mtu smart ndani ya miaka mitano inatakiwa awe na shilingi 150M hadi 300M.Hongera mkuu kwa uthubutu huo wa kuweka elf 30 per day si kitu kidogo katika hali hii ya vyuma kukaza
(30,000 x 365= 10,950,000 x 5 = 54,750,000)
Je unakumbana na changamoto zipi?
Hehehe sasa dhahabu ya hereni nayo utaiita ni dhahabu.Mimi nanunua dhahabu kwa sonara na kuihifadhi na zingine wife na watoto wanazivaa wakihitaji
Ni asset nzuri na thamani haishuki hata siku moja
Unaweza kupeleka bank kama kuna access hiyo kwa huko