Share Idea yako unayotumia kuweka akiba

Hiyo mbona ni SACCOS aka VICOBA
 
Hongera hujawahi kutana na changamoto zozote zile ?
changamoto ni muda mrefu wa kukusanya vifaa ila sijawahi kudhulumiwa maana kuweka hela kwa muuzaji ni sawa na kumkopesha mtaji. Kuna jamaa mmoja wa matofali aliwahi kunicheleweshea kazi kama kipindi cha mwezi mmoja ila baadae alinipatia. Cha kufanya ni kudeal na watu waaminifu na wenye mitaji mikubwa. Nilikuja kugundua kuwa watu wengi wanafanya hivyo na pia kuwe na rekodi nzuri. Hapa nilipo nina risiti ya tofali 2500 mfukoni nishalipa bado ku-deliver tu nakusanya hela ya materials zingine
 
Hii imekaa vizuri
 
Daaah hapa kwenye kusave mwenzenu nimeshindwa maana kila nikijaribu kusave nakuwa na uhitaji wa pesa nyingi zaidi ya iliyopo sijui nitumie njia gani kwa hili maana natamani sana kuweka akiba but matatizo yananiharibia
 
Mimi nanunua dhahabu kwa sonara na kuihifadhi na zingine wife na watoto wanazivaa wakihitaji
Ni asset nzuri na thamani haishuki hata siku moja
Unaweza kupeleka bank kama kuna access hiyo kwa huko
Zikipotea je?
 
Nmependa wazo lako...
 
Nmekupenda bure aisee.

"SPEND WHAT LEFT AFTER SAVE"
 
Njoo pm tuyajenge
 
Hongera mkuu kwa uthubutu huo wa kuweka elf 30 per day si kitu kidogo katika hali hii ya vyuma kukaza

(30,000 x 365= 10,950,000 x 5 = 54,750,000)

Je unakumbana na changamoto zipi?
Huenda lakini.........! Elfu 30 kwa siku ni biashara ya uhakika tena isiyokuwa na changamoto
 
Kwa kuongea eti itafika 150m ni rahisi kishenzi,ingia kwenye utekelezaji ndo utaona mziki wake.

SMARTNESS ID OVERATED.
ni kweli kuzalisha pesa si kazi rahisi mkuu wakati mwingine unaweza ukapoteza kabisa
 
Huenda lakini.........! Elfu 30 kwa siku ni biashara ya uhakika tena isiyokuwa na changamoto
Ya kawaida tu,maana ili uweze kusave 30k bas upate mada tatu yake per day,ambayo ni kawaida tu kama unafanya biashara yenye kueleweka..
 
Daaah hapa kwenye kusave mwenzenu nimeshindwa maana kila nikijaribu kusave nakuwa na uhitaji wa pesa nyingi zaidi ya iliyopo sijui nitumie njia gani kwa hili maana natamani sana kuweka akiba but matatizo yananiharibia
Ha ha ha pole sana,njia ni kuamua kwa vitendo na uwe una vipaumbele ambavyo umevioanisha kwamba kinaanza hiki,kinafuata hiki,maana wanapofel weng ni kupanga matumiz kabla hujashika hela yenyewe.. Utakapoipata itaisha tu na utaona haitoshi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…