Emmanuel nemes
JF-Expert Member
- Nov 20, 2016
- 892
- 654
So true!
Mwenye Enzi Mungu akupe haja ya moyo wako!Mimi napata 250,000 kwa mwezi. Mwanzoni nilikuwa natumia kwanza afu ikibak ndo nasave unakuta mda mwngne hamna hela ya maana uliyosave. Nikabadilisha njia. Nikawa nikipata tu hela naweka 100,000 kamili bank alaf hyo 150 inayobak ndo nafanya matumizi. Namshukuru MUNGU na kipato changu kidg nimekaa mwaka na zaidi sasa nina akiba ya 1.2m
Hyo ndo njia ninayoitumia na sitoiacha. Naombea niongeze kipato ili kuongeza akiba yangu.
Mkuu hebu jazia nyama kdg hapo, mkopo kiasi gani kwa riba ya 10% na muda wake wa mrejesho ni upi? Nipo kwenye kampuni moja hv ila hakuna hii system nimehamasika kuwashauri wenzangu tuanzishe haka ka utaratibu ndani ya kampuni yetu! Maelezo kdg mkuu......Tumeanzisha mfumo wa SILC( Saving and Internal Lending Community) ofisini..naweza kuweka hadi 250,000 kwa mwezi.. Pia mwanachama anaweza kupata mkopo na kurudisha kwa riba ambayo ni 5-10% kulingana na kiasi anachochukua na muda..Uzuri ni kwamba wote ni wafanyakazi hapa na ukishasave hela yako huna mwisho wa mwaka tunafanya share out, unapata hela yako yote uliyosave na ile riba iliyopatikana inagawanywa..Ingekuwa kibubu maana yake ile unayoweka ni hiyo hiyo haiongezeki
Shukran.Mwenye Enzi Mungu akupe haja ya moyo wako!
Well done!
Nimeipenda hii mkuu, naomba details za ulivyoanza, mpk sasa na changamoto zakeNenda bureau DE exchange,badili TSH TO USD.Alaf kaa Nazi hzo $ home...
Na je hii inatofauti na forex, kwangu naona ni forex ambayo unaifanya physical na sio onlineNenda bureau DE exchange,badili TSH TO USD.Alaf kaa Nazi hzo $ home...
Karibu
Siyo Mchezo Kweli Kujiongeza MuhimuHongera mkuu kwa uthubutu huo wa kuweka elf 30 per day si kitu kidogo katika hali hii ya vyuma kukaza
(30,000 x 365= 10,950,000 x 5 = 54,750,000)
Je unakumbana na changamoto zipi?
Natumia m-pawa kukopa na Kuweka akiba.Ila sijui kama Kuna chochote wanaongoza.Tatizo ni kunifungia kukopa mpk nimechoka.Hivi hawa M- PAWA ukiweka akiba wanatoa kweli % ya ulicho weka? Mwisho wa mwezi
Habar wana JF?
Msingi mkubwa wakufanikiwa katika maisha nikuweka akiba.
Kipindi nipo Shule nilikua na-save kiasi cha pesa ninacho pewa kwaajili ya matumizi ya shule kila siku nyumbani nilikua napewa TZS 2,000 kama matumizi ya kutwa nzima nikiwa shuleni kwani kutoka home hadi shule kulikua na umbali mrefu.
Toka hapo hadi leo bado nimeendelea kujiwekea akiba na nimeona ni njia salama sana kwani inakupa uhuru wa pesa.
Katika harakati za kueka akiba kila mtu huweka kulingana na kipato chake.
Nimeanzisha uzi huu ili kila mtu kushare Idea yake anayotumia kueka akiba- kwani akiba ndio njia salama ya kufikia malengo - na pia kuwakumbusha wale wasiokua na utaratibu wa kujiwekea akiba
Kama unandoto ya kumiliki gari,nyuma nzuri,nk anza leo kueka kidogo unacho kipata ndicho kinacho tengeneza kikubwa cha kesho
NB: sio lazima usave kwenye kibubu unaweza weka kwenye TIGO PESA , M PESA Bank Account Nk..
SHARE IDEA YAKO UNAYO TUMIA KUWEKA AKIBA [emoji120][emoji120][emoji120]
Eeeenh??!!! unataka undugu uvunjike sasa...Njia nzuri ya kuweka akiba ni kuwakopesha jamaa zako wa karibu.
Itanzinguaje mkuu wakati kibubu ulikuwa unakaa nacho mwenyewe? Na ukifika benki wanakukabidhi ufunguo unatoa mpunga wako unajiondokea!!Sio salama pia, bank ikizingua utaambulia mil. 1.5 tu.
Unajuaje mkuu kama lilikuwa kubwa? Kilikuwa kidogo vipimo vinapungua kidogo kwenye vile vya box la chaki![emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Kuwa siriaz mkuu dude kubwa kam ilo unasahau vip ulikoweka?
Ni uzembe wako tuZikipotea je?
Milioni 1 unapataHivi dhahabu ni sh. ngap. Mfano cheni bei ya chini kabisa
SawaNi uzembe wako tu
Ingawa hata watu wanapotea
Lakini la mali labda chumaulete