Share Idea yako unayotumia kuweka akiba

Share Idea yako unayotumia kuweka akiba

Siku hizi nmeanzisha bajeti yangu ya kila mwezi na najitahidi nsitoke nje ya kile nlichopanga kukitumia
 
Coz kuweka tuu hela kwenye kibubu ni bora ukaweka benk saving account ambapo mwisho wa mwezi unapata faida yko
 
892c538b0b3e6667434943fe312a129f.jpg
So true!
Pesa lazima uieshimu!
 
Mimi napata 250,000 kwa mwezi. Mwanzoni nilikuwa natumia kwanza afu ikibak ndo nasave unakuta mda mwngne hamna hela ya maana uliyosave. Nikabadilisha njia. Nikawa nikipata tu hela naweka 100,000 kamili bank alaf hyo 150 inayobak ndo nafanya matumizi. Namshukuru MUNGU na kipato changu kidg nimekaa mwaka na zaidi sasa nina akiba ya 1.2m
Hyo ndo njia ninayoitumia na sitoiacha. Naombea niongeze kipato ili kuongeza akiba yangu.
Mwenye Enzi Mungu akupe haja ya moyo wako!
Well done!
 
Tumeanzisha mfumo wa SILC( Saving and Internal Lending Community) ofisini..naweza kuweka hadi 250,000 kwa mwezi.. Pia mwanachama anaweza kupata mkopo na kurudisha kwa riba ambayo ni 5-10% kulingana na kiasi anachochukua na muda..Uzuri ni kwamba wote ni wafanyakazi hapa na ukishasave hela yako huna mwisho wa mwaka tunafanya share out, unapata hela yako yote uliyosave na ile riba iliyopatikana inagawanywa..Ingekuwa kibubu maana yake ile unayoweka ni hiyo hiyo haiongezeki
Mkuu hebu jazia nyama kdg hapo, mkopo kiasi gani kwa riba ya 10% na muda wake wa mrejesho ni upi? Nipo kwenye kampuni moja hv ila hakuna hii system nimehamasika kuwashauri wenzangu tuanzishe haka ka utaratibu ndani ya kampuni yetu! Maelezo kdg mkuu......
 
Hongera mkuu kwa uthubutu huo wa kuweka elf 30 per day si kitu kidogo katika hali hii ya vyuma kukaza

(30,000 x 365= 10,950,000 x 5 = 54,750,000)

Je unakumbana na changamoto zipi?
Siyo Mchezo Kweli Kujiongeza Muhimu
 
Habar wana JF?

Msingi mkubwa wakufanikiwa katika maisha nikuweka akiba.

Kipindi nipo Shule nilikua na-save kiasi cha pesa ninacho pewa kwaajili ya matumizi ya shule kila siku nyumbani nilikua napewa TZS 2,000 kama matumizi ya kutwa nzima nikiwa shuleni kwani kutoka home hadi shule kulikua na umbali mrefu.

Toka hapo hadi leo bado nimeendelea kujiwekea akiba na nimeona ni njia salama sana kwani inakupa uhuru wa pesa.

Katika harakati za kueka akiba kila mtu huweka kulingana na kipato chake.

70cf8bfae9d105d762151afe6cf9965f.jpg


Nimeanzisha uzi huu ili kila mtu kushare Idea yake anayotumia kueka akiba- kwani akiba ndio njia salama ya kufikia malengo - na pia kuwakumbusha wale wasiokua na utaratibu wa kujiwekea akiba

Kama unandoto ya kumiliki gari,nyuma nzuri,nk anza leo kueka kidogo unacho kipata ndicho kinacho tengeneza kikubwa cha kesho

NB: sio lazima usave kwenye kibubu unaweza weka kwenye TIGO PESA , M PESA Bank Account Nk..

SHARE IDEA YAKO UNAYO TUMIA KUWEKA AKIBA [emoji120][emoji120][emoji120]

Mkuu salama,

nimesoma bandiko lako na nimeelewa kama ifuatavyo;

Kwanza wewe ni lazima muajiliwa so unajaribu kushauri wengine pia katika level uliopo.

Pili nataka nikuchalleges kama unafanya saving ili ununue gari au nyumba unakua sahihi lakini you will never be reach(hauwezi toboa kwa kusave).

Njia sahihi ya kujikomboa kumaisha, kwanza futa hizo mentality za kusave and instead anza kufikilia kubuld businesses(you can start small) kwa hyo hyo pesa unayosave(remember savers are loosers).

Jaribu kufatilia watu wote matajiri wanaokuzunguka kwa haraka uliza au jiulize wametoboa kwa kusave au kwa kufanya biashara...Ukipata majibu utaungana na mimi 100%.

I wish you best of luck hope nimeeleweka!

[HASHTAG]#stoppoormentally[/HASHTAG]!!!
 
Sio salama pia, bank ikizingua utaambulia mil. 1.5 tu.
Itanzinguaje mkuu wakati kibubu ulikuwa unakaa nacho mwenyewe? Na ukifika benki wanakukabidhi ufunguo unatoa mpunga wako unajiondokea!!
 
Back
Top Bottom