busha
JF-Expert Member
- Jan 21, 2019
- 1,712
- 2,577
Mkuu nikumbushe ni mwaka gani dola ilishuka,,
Hau niambie unaona kuna viashiria vyovyote vya kushuka kwa dola labda siku zijazo,,,?
Sent using Jamii Forums mobile app
Hau niambie unaona kuna viashiria vyovyote vya kushuka kwa dola labda siku zijazo,,,?
Je, ukinunua $$ kwa Tsh 2,200 then Madafu ikapanda thamani, ikawa 1 $$ kwa Tsh 2,150 hujala hasara mpaka hapo ?
Sent using Jamii Forums mobile app