Huyo wa kuja bila shaka. Analiwaje kwa uongo kiasi hiko?Dah...nilikuta naye ndani ya mwendokasi...nikamwambia atafute kiwanja Kariakoo nimnunulie....nikamla siku hiyohiyo...😎
haahaa kiwanja kariakoo..Dah...nilikuta naye ndani ya mwendokasi...nikamwambia atafute kiwanja Kariakoo nimnunulie....nikamla siku hiyohiyo...😎
Kwanza mtu akianza kuongea hivyo unaondoka hamna sababu ya kumsikiliza
Swali langu lilihitaji kujibiwa ndio au haoana. Baaas!Mkuu, kwanini nimuulize?
Kwani kuna range ya muda specific uliopangwa kwa mwanamke kumkubalia mwanamume? If yes, ni muda kiasi gani?
Je ni vibaya mwanamke kumkubalia mwanamume kirahisi?
Je inatakiwa mwanamke asimkubalie mwanamume kirahisi?? Why?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sidhani kama umelielewa swali langu
Hahahahaa
Sidhani kama umelielewa swali langu...
Swali linaeleweka, maswali yako ni kama unamcriticize hiyo Mdada alivyomkubalia kirahisi ktk muda mfupi, Je huko nyuma miaka 5 amepitiwa na wangapi, tukuulize nawe je huko nyuma miaka 5 hiyo umewapitia wangapi?Sidhani kama umelielewa swali langu
MWANAMKE BILA UONGO HUMLI HATA UKIHONGA MILIONI...hata Nyoka alitumia Uongo pale Eden NA BADO AKACHUNWA TUNDA LA MTI Hawa akala, ila uongo ulitangulia kwanza...sasa ww una akili kuliko Nyoka? shwain
Babu ina maana hata bibi ulimuuliza swali kama hili? Maisha yetu wajukuu zako yapo very complicated kwanini unataka tuya complicatishe zaidi?Uliwahi kumuuliza alivyokukubalia kirahisi namna hiyo ndani ya wiki mbili tu... ni wangapi aliowakubalia kirahisi hivyo miaka mitano iliyopita?
#Justasking#
Just BORIS
Kweli njia nyepesi ya kumpata mwanamke is just showing the power to feed her. Ha ha ha i belive.Woyoooooooooo
Ni sounds / namna au mbinu gani ulitumia kumnasa mpenzi wako wa sasa? Na ilichukua muda gani hadi aingie line?
Binafsi nilikutana nae akiwa katoka shopping, nikamsaidia mizigo na ku exchange number.
Sikumpiga sound bali tulichati for two weeks ivi nikamwomba nimtoe dinner. She accepted na nikamfata na gari hadi kwao tabata. Nikamchukua na kwenda eneo flani amazing kule mbezi beach. Alikula na kunywa alichokipenda. Wakati namrudisha kwao nilisimamisha gari umbali km wa dk 5 hivi na kwao and tried to kiss her. Hakukataa.... I kissed her for about one minute then nikamdrop home.
From that day akawa wangu hadi sasa ni mke wangu wa ndoa.
Karibu
Sent using Jamii Forums mobile app
hiyo mbinu utapata wengiDah...nilikuta naye ndani ya mwendokasi...nikamwambia atafute kiwanja Kariakoo nimnunulie....nikamla siku hiyohiyo...😎