Share namna/sounds ulizotumia kumnasa mpenzi wako wa sasa

Share namna/sounds ulizotumia kumnasa mpenzi wako wa sasa

Babu ina maana hata bibi ulimuuliza swali kama hili? Maisha yetu wajukuu zako yapo very complicated kwanini unataka tuya complicatishe zaidi?
Sijawahi kumuuliza. Nilitaka tu nijue kama alimuuliza ili nimpe ushauri. Sasa maadam amegoma kunijibu mi sina la kuongeza tena
 
Swali linaeleweka, maswali yako ni kama unamcriticize hiyo Mdada alivyomkubalia kirahisi ktk muda mfupi, Je huko nyuma miaka 5 amepitiwa na wangapi, tukuulize nawe je huko nyuma miaka 5 hiyo umewapitia wangapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu lilikuwa nijibiwe ndio au hapana. Then baada ya jibu ndo ningeweka hoja yangu sasa.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] Unanivunja mbavu ujue!
Umenifanya nikumbuke ahadi hewa nilizowahi kupewa zikanifurahisha mpaka basi.

Ila kweli wanatuongezea siku za kuishi maana si kwa furaha ile unayoipata
yaani tuache tu kujibaraguza na tuseme ukweli tunafurahi sana
wacha kabisa, mimi nasema na waendelee tu hivyo hivyo
 
Nilianza mazoeanae akawa hataki, siku nikapita kazini kwake nikwamwambia hata km unanichukia lkn ujue tu nakupenda wala sitakusumbua tena, baada ya wiki 2 boss wake akaniomba nikamsaidie kupika (alkua na ubatizo wa mtoto) nilipika chakula kitamu sikujua hata nilipikaje na wala sikuwahi kupika chakula km kile, hadi leo anasumbua nipike km kile nabaki nacheka tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Duh mbona haijaonesha km alikukubalia?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakutaka hata ukaribu na Mimi Ila aliona wenzake wananielewa afu akinicheki Niko kawaida Sana .kumbe alikuwa hajaelewa mambo yangu

Baadaye kuzipata habari kwamba mwamba ni somebody somewhere mwenyewe akajilengesha kiulani na mpaka Leo tuko pamoja

Wala sikutumia sound Bali kupitia wenzake akaona nastahili kutunukiwa mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
Kiulainiii kabisa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mimi huwa MWANAMKE akinikataa huwa situmii NGUVU NYINGI,,, akishanipa namba YAKE basi huwa ASUBIRI kunipa PAPUCHI...nikiwa ktk PIRIKAPIRIKA ZANGU ZA KUTAFUTA,,,Mara nyingi nakuwa natumia WHTSAP NO YA TANZANIA,,,lakini pengine sipo hapa TANZANIA,,,nakuwa nabadilisha PROFILES PICHA ZA KUFA MTU,,huku nikiwa simwachi SALAMA,,,salamu kama HEY CUTE,,,MAMBO MTOTO MZR?ni vitu vya kawaida kwngu KUM TEXT,,,sometimes nampigia calls na UNKOWN NO,, huku namtupa nipo DC,,au SWISS ni kawaida,,KWA HAWA DADA ZETU WAPENDA VINAVYONG'AA HUWA HAWAKWEPI SHOKA LA MSOLOPA GANZI,,,,hakuna wa kunitosa labda AWE KIPOFU....

Sent using Jamii Forums mobile app
Kwaiyo hujawahi kutoswa?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woyoooooooooo

Ni sounds / namna au mbinu gani ulitumia kumnasa mpenzi wako wa sasa? Na ilichukua muda gani hadi aingie line?

Binafsi nilikutana nae akiwa katoka shopping, nikamsaidia mizigo na ku exchange number.

Sikumpiga sound bali tulichati for two weeks ivi nikamwomba nimtoe dinner. She accepted na nikamfata na gari hadi kwao tabata. Nikamchukua na kwenda eneo flani amazing kule mbezi beach. Alikula na kunywa alichokipenda. Wakati namrudisha kwao nilisimamisha gari umbali km wa dk 5 hivi na kwao and tried to kiss her. Hakukataa.... I kissed her for about one minute then nikamdrop home.

From that day akawa wangu hadi sasa ni mke wangu wa ndoa.

Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Hongera sana mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakutaka hata ukaribu na Mimi Ila aliona wenzake wananielewa afu akinicheki Niko kawaida Sana .kumbe alikuwa hajaelewa mambo yangu

Baadaye kuzipata habari kwamba mwamba ni somebody somewhere mwenyewe akajilengesha kiulani na mpaka Leo tuko pamoja

Wala sikutumia sound Bali kupitia wenzake akaona nastahili kutunukiwa mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
Duuh hongera mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom