Share namna/sounds ulizotumia kumnasa mpenzi wako wa sasa

Share namna/sounds ulizotumia kumnasa mpenzi wako wa sasa

Mkuu, kwanini nimuulize?

Kwani kuna range ya muda specific uliopangwa kwa mwanamke kumkubalia mwanamume? If yes, ni muda kiasi gani?

Je ni vibaya mwanamke kumkubalia mwanamume kirahisi?

Je inatakiwa mwanamke asimkubalie mwanamume kirahisi?? Why?

Sent using Jamii Forums mobile app
Muda wa mpenzi wako kukukubalia si kigezo cha mtu mvumilivu, upendo ni bahati tu na ile first impression anayokufeel
 
Mm nilijitolea kumsomesha wakat wa ziada basi akawa kila weekend anakuja shule flani nampigia pindi tangia yupo form four

Basi akaenda mtoto akatokea kuchanganyikiwa nikaanza kujilia dodo pole pole hadi sasa ni mke wangu wa ndoa
 
Back
Top Bottom