Share namna/sounds ulizotumia kumnasa mpenzi wako wa sasa

Share namna/sounds ulizotumia kumnasa mpenzi wako wa sasa

Nilianza mazoeanae akawa hataki, siku nikapita kazini kwake nikwamwambia hata km unanichukia lkn ujue tu nakupenda wala sitakusumbua tena, baada ya wiki 2 boss wake akaniomba nikamsaidie kupika (alkua na ubatizo wa mtoto) nilipika chakula kitamu sikujua hata nilipikaje na wala sikuwahi kupika chakula km kile, hadi leo anasumbua nipike km kile nabaki nacheka tuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, kwanini nimuulize?

Kwani kuna range ya muda specific uliopangwa kwa mwanamke kumkubalia mwanamume? If yes, ni muda kiasi gani?

Je ni vibaya mwanamke kumkubalia mwanamume kirahisi?

Je inatakiwa mwanamke asimkubalie mwanamume kirahisi?? Why?

Sent using Jamii Forums mobile app
Swali langu lilihitaji kujibiwa ndio au haoana. Baaas!

Haya maswali wala sikuyahitaji.

Furahia maisha yako na mkeo kijana.
 
Uliwahi kumuuliza alivyokukubalia kirahisi namna hiyo ndani ya wiki mbili tu... ni wangapi aliowakubalia kirahisi hivyo miaka mitano iliyopita?

#Justasking#
Babu ina maana hata bibi ulimuuliza swali kama hili? Maisha yetu wajukuu zako yapo very complicated kwanini unataka tuya complicatishe zaidi?
 
Nilimwambia SIKUHITAJI KAMA DEMU NAKUHITAJI KAMA MWANAMKE, demu wangu Mpaka leo anadai hakuna verse kwa mwanaume amewahi kuielewa kama hiyo
 
Hakutaka hata ukaribu na Mimi Ila aliona wenzake wananielewa afu akinicheki Niko kawaida Sana .kumbe alikuwa hajaelewa mambo yangu

Baadaye kuzipata habari kwamba mwamba ni somebody somewhere mwenyewe akajilengesha kiulani na mpaka Leo tuko pamoja

Wala sikutumia sound Bali kupitia wenzake akaona nastahili kutunukiwa mzigo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Woyoooooooooo

Ni sounds / namna au mbinu gani ulitumia kumnasa mpenzi wako wa sasa? Na ilichukua muda gani hadi aingie line?

Binafsi nilikutana nae akiwa katoka shopping, nikamsaidia mizigo na ku exchange number.

Sikumpiga sound bali tulichati for two weeks ivi nikamwomba nimtoe dinner. She accepted na nikamfata na gari hadi kwao tabata. Nikamchukua na kwenda eneo flani amazing kule mbezi beach. Alikula na kunywa alichokipenda. Wakati namrudisha kwao nilisimamisha gari umbali km wa dk 5 hivi na kwao and tried to kiss her. Hakukataa.... I kissed her for about one minute then nikamdrop home.

From that day akawa wangu hadi sasa ni mke wangu wa ndoa.

Karibu

Sent using Jamii Forums mobile app
Kweli njia nyepesi ya kumpata mwanamke is just showing the power to feed her. Ha ha ha i belive.

Na huyo ni mmoja tu. Kuna mimba nyingi ziliingia kwa gia ya chips kuku tu na watu wakaolewa na wanalea. Nawasilisha!
 
Back
Top Bottom