Sharjah safari park, mbuga ya wanyama iliyotengenezwa UAE kudumaza utalii wa Tanzania

Sharjah safari park, mbuga ya wanyama iliyotengenezwa UAE kudumaza utalii wa Tanzania

Zoo za wanyama hazitishii uhai wa mbuga zetu.
Ni wivu wako tu.
 
Ufisadi wenye nasaba na uarabuni umetamalaki awamu hii, kama ilivyokuwa awamu ya 4!
Hili jambo nadhani linakuzwa tu, kwa vile mama alienda huko kutembelea babu zake.Waafrika tutaelimika lini? Obama ametawala miaka 8 marekani lkn sikusikia hata siku 1 mmarekani akilalamika kuwa Obama ameinufaisha Kenya kuliko nchi nyingine ya africa ila Obama kama angekuwa rais wa tz angeipata freshi
 
Ehh Mwenye Enzi Mungu tuhurumie sisi Watanzania na wanyama, madini na kila kitu cha thamani katika nchi yetu, ehh Mola wangu tutalia hadi lini?[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Ni lini tutapata viongozi wanao penda nchi yetu Tanzania [emoji1241]?
Ehh Rabuka wangu tenda kitu mpaka watu wote tushtuke na ndio uwe mwisho wa kuiibia nchi yetu walahi [emoji2972] Aamina!
 
Kutengeneza pesa siwezi pinga ila sio kwamba ndo wataua mbuga zetu na watalii kwenda huko kwao. Hilo kamwe haliwezekani. Ile wildbeest migration ya Serengeti wataweza kuihamishia kwao? Lile bonde na mandhari ya Ngorongoro wataweza kuitengeneza? Olduvai kwenye moving sand? Gombe? ....muhimu tu ni sisi kumshukuru tu Mungu kwa hii bahati na kutumia vizuri utajiri wa asili tuliopewa. Sisi tukipewa Dubai halafu Dubai wakapewa Tanzania nadhani itachukua miaka mitano tu waarabu kuwa mara elfu ya Dubai ya sasa.

Kwani ni wapi ulisikia kuwa wao wana mipango ya kuuwa utalii wenu? Ila ambalo unatakiwa ufahamu kuna uwezekano mkubwa wa hizo mbuga zao kutengeneza hela zaidi kuliko sisi, na hapo ndipo utakapoona utafauti wa akili baina ya binaadamu.
 
Hiyo ndiyo furaha ya Lisu
Maana ukipinga atakwambia utashitakiwa MIGA
Hiki ulichokiandika hapa kina uhusiano gani na Lissu? Watu wanaongelea mbuza za wanyama zilizoanzishwa uarabuni, huku wanyama wetu wakibebwa kupelekwa huko kwa ndege, chini ya hii serikali yako iliyo jichokea, ya ccm!

Wewe unaleta story za Lissu na MIGA!
 
Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro

Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii

Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
View attachment 2462127View attachment 2462128View attachment 2462129View attachment 2462130View attachment 2462131View attachment 2462132View attachment 2462133
Munalalamika kitu gani?Wakati Serikali yenu ya CCM ndio inayo uza hao Wanyama? Serikali itauza wanyama mwisho wanyama wakimalizika watauzwa binadamu itabidi hao waaarabu wa UAE kukamilisha mbuga zao za wanyama itabidi waje Tanzania kuwanunuwa Wamasai wakisha wanunuwa wamasai wamekamilisha mbuga za wanyama Wawanunue Wamasai pamoja na Ng'ombe zao kisha wawatengenezee mbuga yao ya kuwafuga wanyama wao hao wamasai na wapate kuishi kama wanavyoishi Tanzania karibu na mbuga za wanyama hao wamasai.
 
Natural habitat of animals siyo zoo! Toka Karne na Karne zoo zipo nasi upande wetu kila mwaka watalii huongezeka! It's simple as that!
Tanzania ina kila Aina ya kivutio Ila Kwa mwaka inapokea watalii milion 1.

Tunisia haina hata mbuga Ila angalia takwimu zake hapa chini
Screenshot_20221230-211606.jpg


Sent from my SM-A032F using JamiiForums mobile app
 
Duh
Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro

Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii

Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
View attachment 2462127View attachment 2462128View attachment 2462129View attachment 2462130View attachment 2462131View attachment 2462132View attachment 2462133
 
Waarabu wanaua mbuga zetu kwa kasi sasa hivi mtu akiwa zake mapumziko Dubai hana haja ya kuja Tz anaenda zake Sharjah safari park anaona wanyama wote waliopo hapa

Pia jamaa wameamua pia majina ya Tanzania kuyahamishia huko mfano
Kuna Serengeti kuna Ngorongoro

Kuna mji umejengwa kama Zanzibar na umeitwa hivo magari ya watalii pia yamejazana huko hatma yetu kama taifa sijui ipo wapi upande wa utalii

Wamejenga mpaka yale madaraja ya kamba kama ya lake Manyara.
View attachment 2462127View attachment 2462128View attachment 2462129View attachment 2462130View attachment 2462131View attachment 2462132View attachment 2462133

Ndoto, asili ni asili, kuna kitu kinaitwa landscape au tambarare ya serengeti au bonge la Ngorongoro, mambo mengi sana Tanzania hayawezi kiwa na duplicate.
 
Kuna bustani za wanyama ( zoo) nyingi duniani tena kubwa ikiwemo Disney nazo zinatumia majina ya Mbuga za Wanyama Afrika ukiwemo hilo la Serengeti lakini hazijawahi kuathiri utalii wetu. Zaidi ni advantage kwetu kwa kutangaza vivutio vyetu.

Kuna watu wanaopenda kuona Wanyama katika mazingira halisi sio hayo ya kufungiwa.

Factos. Original ni original tu
 
Hamna kitu hapo, utalii hauwezi kuathiriwa na hiyo zoo ya kutengeneza tu
 
Back
Top Bottom